The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Oups! Nilikusahau MFADHILI WETU mkuu! Samahani usije ukakatisha misaada tafadhali!
Ngoja niwatafute wajumbe wa bodi kuja kujadili huu mswada kabla haujasainiwa
Mwenyekiti - Pope Kaizer
Katibu - St. Roya Roy
Mweka hazina - Big braza Asprin -ODM
Katibu mwenezi - Bigirita
Mshauri mkuu - Fidel
Wajumbe: The Finest, Masanilo, Dreamliner,Askofu,Kimey,Klorokwini,Maskini Jeuri,D5, Msanii, Dark City,Smiles, Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
Wajumbe toka kambi ya upinzani: Carmel. Nyamayao, MJ1,Mwalimu Gaijin, ZD,Shishi,Mom......na wote wenye mapenzi mema na infidelity.:welcome::welcome::welcome:
Nafikiri unafahamu bado niko chuo namalizia mwaka wa tatu kwenye somo la INFIDELITY nashukuru mwalimu wangu ASPRIN ananipa assignment za kutosha na pia zile field alizoniandalia zimenisaidia sana
Hivi unaruhusiwa kufanya Infidelity na wajumbe wa bodi?
Umeshasahau mwalimu wangu KAIZER alishakutunukia MASTAZ with HANAZ?Nafikiri unafahamu bado niko chuo namalizia mwaka wa tatu kwenye somo la INFIDELITY nashukuru mwalimu wangu ASPRIN ananipa assignment za kutosha na pia zile field alizoniandalia zimenisaidia sana
Ehh? ni hapo sasa tutakapo kuwa tunapishana na kiongozi mkuu.....
Safi..........Katibu, ajenda inayofuata?
Mpwa unaulizia ulimi mdomoni?Hivi unaruhusiwa kufanya Infidelity na wajumbe wa bodi?
Kuna adhabu mbalimbali tunazowapa wanachama wet. Ukifumaniwa UNASIMAMISHWA uanachama kwa miezi sita! Ni Kosa la JINAI kwa infideletaz na infideleez kufumaniwa, ukifumaniwa maana yake hujafuata katiba na SHERIA zetu, kitendo ambacho HAKIKUBALIKI kisheria.Etiii.....?
Nimewavulia kofia so far.....
I hope u wont get to get caught some day....
Mpwa unaulizia ulimi mdomoni?
Kuna adhabu mbalimbali tunazowapa wanachama wet. Ukifumaniwa UNASIMAMISHWA uanachama kwa miezi sita! Ni Kosa la JINAI kwa infideletaz na infideleez kufumaniwa, ukifumaniwa maana yake hujafuata katiba na SHERIA zetu, kitendo ambacho HAKIKUBALIKI kisheria.
Ehh? ni hapo sasa tutakapo kuwa tunapishana na kiongozi mkuu.....
Aaah Roya....umekubali kwa sababu u are one of them!
usitafute kisingizio wakati una-enjoy hapo kuwa member....
hehehehe!INFIDELITY IS THERE TO STAY....! huu msemo hauko akili mwangu kabisa mimi naipinga infidelity kwa nguvu zangu ZOTE. Na kutokana na mwanazuoni aliekomaa TEAMO (PHD (hons) ya infedelity) moja ya katiba zake ametaja lazma upige mchupa/valuer kitu ambcho bado sikwalifai.
Don King wa infedelity (ASPRIN) hata kwenye kambi pinzani hakunitaja kwa hio inaonyesha hata siku moja siwezi kuhamia chama tawala.
Mshauri mkuu - Fidel
Halafu wewe usipojirekebisha hatutakurudisha kwenye chama!INFIDELITY IS THERE TO STAY....! huu msemo hauko akili mwangu kabisa mimi naipinga infidelity kwa nguvu zangu ZOTE. Na kutokana na mwanazuoni aliekomaa TEAMO (PHD (hons) ya infedelity) moja ya katiba zake ametaja lazma upige mchupa/valuer kitu ambcho bado sikwalifai.
Don King wa infedelity (ASPRIN) hata kwenye kambi pinzani hakunitaja kwa hio inaonyesha hata siku moja siwezi kuhamia chama tawala.
hehehehe!
mkuu bana unajua nilisema VALUU ni added advantage!sio lazima...
karibu kundini unajua wewe ni mwanachama uliyeasi:becky::becky::becky::becky:
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:Halafu wewe usipojirekebisha hatutakurudisha kwenye chama!
Hivi ilikuwaje ukafanya misteki ukaondoka na andawea ya mke wa mtu?? FYI usipolipa faini tutakutoa kwenye uanachama manake wewe bado ni mwanachama asiye hai kwa mujibu wa katiba yetu.
well hapa haitakiwi kuongea sana,ni kuzishusha tu kama ifuatavyo:
1-INFIDELATORS wanatakiwa kugharamia kikao cha kwanza wanapokutana na infideletees wapya kwa asilimia 100
2-INFIDELATORS/INFIDELETEES wanatakiwa kufanya wanaloliweza kuhakikisha hakuna leakage ya taarifa yoyote ya INFIDELITY juu yako kwenye familia zao(hasa hasa wake/waume zao waliowaacha nyumbani)
4-INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI
5-INFIDELATORS/INFIDELETEES wanapaswa kuwa na umri wa watu wazima(18+.....!hii ilikuwa sababu pekee ya kumtoa georgieporjie kwenye uanachama)
6-INFIDELATORS/INFIDELETEES lazima wawe wanapandisha mvinyo kwa wingi (unywaji wa valuu una ''added advantage'')
7-INFIDELATORS/INFIDELETEES lazima awe na ''defined-marital status'',lazima awe ameoa/ameolewa (huwezi kufanya infidelity wakati wewe hujaoa-hapo unakuwa unafanya zinaa tu!...infidelity kwa ujumla wake lazima kwanza uoe/uolewe:eyebrows::eyebrows::eyebrows:!samahani kama nawakwaza hapa ndugu zangu).
8-KWAKUZINGATIA SHERIA NAMBA 7 TAJWA HAPO JUU-infidelators watakaoingia kwenye NEC ni wale waliooa/olewa tu!wengine hao wanakuwa members tu kwasababu tunawajali sana zaidi ya hapo HAWANA KURA YA VETO
9-INFIDELATORS/INFIDELETEES watahakikisha wanapigana kufa na kupona kuzilinda na kuzitetea ndoa za infidelators/infideletees wenzao!(ndoa na iheshimiwe na watu wote).naomba hii sheria muiangalie kwa umakini mkuu!hakikisha kufa kupona unafanya unaloweza kuhakikisha ndoa ya mwanachama haitetereki.
10-INFIDELITY itafanyika NYUMBA ZA KULALA WAGENI TU!....tena itafanyika kilometa kadhaa kutoka maeneo yako ya nyumbani(otherwise unatakiwa uproove kwamba mkeo/mumeo kasafiri umbali usio pungua kilometa mia saba kutoka nyumbani kwenu).
11-INFIDELITY KAMWE HAIFANYIKI USIKU KUCHA-fanya unalofanya lakini make sure umerudi nyumbani kwa waif/husband.ukilifanya hili utakuwa umeheshimu na kuitekeleza sheria namba 7 na namba 9 tajwa hapo juu
12-INFIDELITY IS THERE TO STAY....!kwanini?kwasababu infidelity ni tiba ya KANSA YA KIBOFU!hapa pana mjadala mzito kidogo ingawa hauhitaji journals!
ngoja nikimbie gesti hapo msasani nika-du ze nidiful then nitarudi!
kwa anaetaka katiba ya ''infidelity'' au kadi ya uanachama anipiemu tu......
Ngoja niwatafute wajumbe wa bodi kuja kujadili huu mswada kabla haujasainiwa
Mwenyekiti - Pope Kaizer
Katibu - St. Roya Roy
Mweka hazina - Big braza Asprin -ODM
Katibu mwenezi - Bigirita
Mshauri mkuu - Fidel
Wajumbe: The Finest, Masanilo, Dreamliner,Askofu,Kimey,Klorokwini,Maskini Jeuri,D5, Msanii, Dark City,Smiles, Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
Wajumbe toka kambi ya upinzani: Carmel. Nyamayao, MJ1,Mwalimu Gaijin, ZD,Shishi,Mom......na wote wenye mapenzi mema na infidelity.:welcome::welcome::welcome: