Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Namba 10 kwisha habari yake, HAYA WOTE JARIBUNI NAMBA 10 MKIWEZA BASI NJOONI NIWAPE VYETI VYA KUHITUMU SHAHADA YA 2 KWENYE INFIDELITY.

Asprin na Teamo ni kiboko, hakuna mfano wenu.
 
ha ha ha!
enzi za NALIVUA PENDO.....!

enzi za SLOW LEARNER.......!

ha ah ah hahahahha
jf ilikuwa zamani bwana.....!enzi hizo tunakunywa shieni bar
Enzi za ZD na uchumba
Za Carmel na Infidelity
Za Fidel na Tukutuku
Za geoff na Tukutuku
Za Bagamoyo na Kaizer, Geoff, Xpin, Fidel80,Carmel, Nguli.
Enzi za Shieni na Yo Yo......

Wacha kabisa!
 
Enzi za ZD na uchumba
Za Carmel na Infidelity
Za Fidel na Tukutuku
Za geoff na Tukutuku
Za Bagamoyo na Kaizer, Geoff, Xpin, Fidel80,Carmel, Nguli.
Enzi za Shieni na Yo Yo......

Wacha kabisa!
ha ha ha!

kipindi hicho hakukuwa na tI...

enzi za mkuu SIPO
enzi za BHT
enzi za NGULI

dah!mwacheni mungu aitwe mungu....!

jf hii....!iheshimiwe tu
 
Enzi za ZD na uchumba<br>
Za Carmel na Infidelity<br>
Za Fidel na Tukutuku<br>
Za geoff na Tukutuku<br>
Za Bagamoyo na Kaizer, Geoff, Xpin, Fidel80,Carmel, Nguli.<br>
Enzi za Shieni na Yo Yo......<br>
<br>
Wacha kabisa!
<br>ha ha ha!<br><br>kipindi hicho hakukuwa na tI...<br><br>enzi za mkuu SIPO<br>enzi za BHT<br>enzi za NGULI<br><br>dah!mwacheni mungu aitwe mungu....!<br><br>jf hii....!iheshimiwe tu
 
enzi za mkuu SIPO

enzi za BHT

enzi za NGULI mkali wa rhymes

life was good men.....!

enzi izo tulikuwa tunakunywa na invizibo

long live ZAMANI
 
Enzi za ZD na uchumba
Za Carmel na Infidelity
Za Fidel na Tukutuku
Za geoff na Tukutuku
Za Bagamoyo na Kaizer, Geoff, Xpin, Fidel80,Carmel, Nguli.
Enzi za Shieni na Yo Yo......

Wacha kabisa!

Wakati Ukuta!
 
enzi za mkuu SIPO

enzi za BHT

enzi za NGULI mkali wa rhymes

life was good men.....!

enzi izo tulikuwa tunakunywa na invizibo

long live ZAMANI
Enzi za Project 13/02
Enzi za Usalule
Enzi za Hedeeee hedeee hedeee!
 
Hivi kambi ya upinzani wako wapi, Carmel, Nyamayao, MJ1, Gaijin, ZD, Shishi, Mom, Smiles
 
Umesahau sheria namba 13: Mara baada ya kufanya infidelity hakikisha UNAOGA na sabuni zisizotoa harufu- vile visabuni vya gesti kama GIV ni MARUFUKU kutumika baada ya infidelity

Kweli hii muhimu sana. Pia kuna vile visabuni vidogo vidogo vile sijui vinaitwagaje
 
hapo zamani za kale.......!

HADITHI HAINOGI BILA KUMTAJA SUNGURA
 
hzi ndoa hizi dah hadi mtu unaogopa wallah heri niwe peke yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…