Zijue sheria ''mama' za infidelity...

hehehehe!....
mkuu unataka kuisamaraiz sala ya bwana??
 
duh! hao wajumbe kutoka kambi ya upinzani................hapana kwa kweli!

walikuwa wamejitayarisha kujadili kwa kutumia journals na leo tushatangaziwa kuwa hazitakiwi.................itabidi wakafanye matayarisho mengine kwanza.

:confused2:
i hereby give you a benefit of doubt!.......
tumia journals mama
 
Siku mkinikamata natafuna infedelity iteni polisi....naingiaga majaribuni ila napiga moyo konde huku nikiwa na back up kubwa ya Blood of Jesus Christ.
FYI hao polisi ndio wasaidizi wetu katika kazi nzima. Tukipata matatizo tunawatumia kusevu ndoa zetu...
 
Nashauri msitumie vile visabuni vidogo Ayu/Eva maana utanukia mpaka nyumbani.
Nasisitiza tembea na sabuni yako ya kipande mfukoni maana hiyo ukisha jipiga soap soap manukato yake yanaisha mapema.

Hapo red? :confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:
 
FYI hao polisi ndio wasaidizi wetu katika kazi nzima. Tukipata matatizo tunawatumia kusevu ndoa zetu...

Hivi yule wa Moshi aliekamatwa aki infedeletiwa kinyume cha maumbo kesi yake iliishia wapi? basi mkinikamata mwiteni Mama Carmel
 
Hapo red? :confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:
hehehehe!
mkuu unataka kubishana na mshauri?
 
i hereby give you a benefit of doubt!.......
tumia journals mama
Journals are STRICTLY PROHIBITED kwenye vikao vyetu... Hayo majono yenu yapelekeni huko kwenye makongamano na masemina ya MKURABITA.
 


Ingawa mm sio mwanachama ila umeshahau hii " Nimarufuku INFIDELATORS/INFIDELETEES kutumia usafiri (Gari)moja kila mtu atumie usafiri wake na aingie/kutoka kwa muda wake sehemu husika GESTI HAUSI "
 
hehehehe!
mkuu unataka kubishana na mshauri?

Kwani hujui mimi ni mpinzani? Swala la infidelity kwangu halina nafasi kamwe....! Kumbuka ukweli unakuweka huru daima...!
 
Hivi yule wa Moshi aliekamatwa aki infedeletiwa kinyume cha maumbo kesi yake iliishia wapi? basi mkinikamata mwiteni Mama Carmel
Raha ya Milele apewe Infii MC LEMA!!!

Taratiiibu unaanza kurudi kundini.....mama la Carmel siyo? Noted!
 

Ingawa mm sio mwanachama ila umeshahau hii " Nimarufuku INFIDELATORS/INFIDELETEES kutumia usafiri (Gari)moja kila mtu atumie usafiri wake na aingie/kutoka kwa muda wake sehemu husika GESTI HAUSI "
The Following 2 Users Say Thank You to BornTown For This Useful Post:

Asprin (Today), Teamo (Today)​
 
Journals are STRICTLY PROHIBITED kwenye vikao vyetu... Hayo majono yenu yapelekeni huko kwenye makongamano na masemina ya MKURABITA.

Hii ndio njia ya kupoteza ushahidi wa kimaadishi eeeh? Kumbuka sheria lazima iwekwe kwenye maandishi mkuu...!
 

Ingawa mm sio mwanachama ila umeshahau hii " Nimarufuku INFIDELATORS/INFIDELETEES kutumia usafiri (Gari)moja kila mtu atumie usafiri wake na aingie/kutoka kwa muda wake sehemu husika GESTI HAUSI "

Wewe,Born Town, kwa mamlaka niliyopewa, nakutangaza rasmi kuwa umekuwa mwanachawa wa heshima tena wa maisha. Karibu sana na ahsante kwa mchango wako uliotukuka.
 
Karibu chama tawala kama hutaki upinzani.....:becky:

hahaha fidel! yaani nashangaa kuwa ni miongoni wa wajumbe wa kujadili katiba ambayo sikujua kama ina exist even.

chama tawala kimefulia .................tunataka mageuzi sisi
 
hehehehe!....
mkuu unataka kuisamaraiz sala ya bwana??

Hujazuiliwa kwenda gesti hausi, wala kupata kitu chochote moyo wako unataka....! Lakini iwekwe wazi mkuu...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…