Umesahau sheria namba 13: Mara baada ya kufanya infidelity hakikisha UNAOGA na sabuni zisizotoa harufu- vile visabuni vya gesti kama GIV ni MARUFUKU kutumika baada ya infidelity
Unaogopa ndoa unaogopa kuolewa???
Hommie umenisahau makusudi au bahati mbaya? Umeona malipo ya infii? Shem wako kanletea kababy boy japo nami nipatemo kupata uchungu wa kutoa mahari. Ivi hili chama lilifiaga wapi? Wapinzani wetu kina carmel, MwanajamiiOne, LD, Askofu na ziondaughter wanapeta tu!!
Mama Upweke si kitu muzuri...hzi ndoa hizi dah hadi mtu unaogopa wallah heri niwe peke yangu
hahahaha hommie sijakusahau Aisee tufanye kuirudisha bana hili chamaHommie umenisahau makusudi au bahati mbaya? Umeona malipo ya infii? Shem wako kanletea kababy boy japo nami nipatemo kupata uchungu wa kutoa mahari. Ivi hili chama lilifiaga wapi? Wapinzani wetu kina carmel, MwanajamiiOne, @LD, Askofu na ziondaughter wanapeta tu!!
kaiza amestaafishwa kupisha uchunguzi
rr ameokoka
bigirita ameslimu
tunafikiria kuunda uongozi mpya sasa....
tumkakabizi ODM ana wajukuu wengi na sie tutapatamokaiza amestaafishwa kupisha uchunguzi
rr ameokoka
bigirita ameslimu
tunafikiria kuunda uongozi mpya sasa....
Sasa hivi chama linafanya kaz mtindo wa TISS....kimya kimya!
Wanachama wanatosha....
Ila tumefukuza uanachama wafuatao:
- @Mazandu
- @Gurta
- @Eliza wa tegeta
hahahaha hommie sijakusahau Aisee tufanye kuirudisha bana hili chama
ODM naona umekuja kivingine kabisaa lazima tupate wanachama wengi sasa!Kweli kabisa.... Si unajua hili chama linaendana na zile hobby zetu nyingine?
Ulabu mpaka kieleweke....... Weuweeeeeee!!
tumkakabizi ODM ana wajukuu wengi na sie tutapatamo
infidelity unaweza fanyia hata kwenye shamba lako la mihogo kule mapinga/kerege/manovu
View attachment 58011View attachment 58011View attachment 58011
Wajukuu wafuatao tumeshawasajili katika chama letu kwa idhini ya cheaman Kaizer: charminglady, cacico, BADILI TABIA, Yummy gfsonwin na Catherine. Ila huyu Catherine anaelekea mguu ndani mguu nje. Sijui kwakuwa kuna infii ilimzalisha ikasepa? Hebu ona, mpaka mwanae ana mawazo.