Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Umesahau sheria namba 13: Mara baada ya kufanya infidelity hakikisha UNAOGA na sabuni zisizotoa harufu- vile visabuni vya gesti kama GIV ni MARUFUKU kutumika baada ya infidelity

Hivi hapa hommie resoultion ilikuwa kutembea na kipande cha mbuni kwa mujibuwa Fidel? lol
 
kama kawaida ndugu yangu kanyagio...!

chemba unaikumbuka wewe?.......
 
Hommie wapi cha la ISC ? mwenyekiti Kaizer, Katibu RR na Mfadhili Bigirita
Hommie umenisahau makusudi au bahati mbaya? Umeona malipo ya infii? Shem wako kanletea kababy boy japo nami nipatemo kupata uchungu wa kutoa mahari. Ivi hili chama lilifiaga wapi? Wapinzani wetu kina carmel, MwanajamiiOne, LD, Askofu na ziondaughter wanapeta tu!!


attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Hommie umenisahau makusudi au bahati mbaya? Umeona malipo ya infii? Shem wako kanletea kababy boy japo nami nipatemo kupata uchungu wa kutoa mahari. Ivi hili chama lilifiaga wapi? Wapinzani wetu kina carmel, MwanajamiiOne, @LD, Askofu na ziondaughter wanapeta tu!!


attachment.php
hahahaha hommie sijakusahau Aisee tufanye kuirudisha bana hili chama
 
ahahahahahah!...
asprine wewe ganja wewe.....!
 
Kweli kabisa.... Si unajua hili chama linaendana na zile hobby zetu nyingine?

Ulabu mpaka kieleweke....... Weuweeeeeee!!

attachment.php
ODM naona umekuja kivingine kabisaa lazima tupate wanachama wengi sasa!
 
Last edited by a moderator:
infidelity unaweza fanyia hata kwenye shamba lako la mihogo kule mapinga/kerege/manovu
IMG_1997.JPGIMG_1997.JPGIMG_1997.JPG
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom