Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Wewe wewe unayenifanyiaga kitubio na kunitaka nifanye malipizi chungu mbovu leo hii tena wantaka nitumbukie dhambini........hapana kwakweli ka Kaizer miye labda ni mtazamaji tu halafu umenikumbusha kitu............

ooh Elizabeth Dominic...come and say it jamani

wapi tena nimekuongoza vibaya mbona shutuma zimekuwa nzito hivi?:A S cry:
 
Last edited by a moderator:
ooh Elizabeth Dominic...come and say it jamani

wapi tena nimekuongoza vibaya mbona shutuma zimekuwa nzito hivi?:A S cry:

Kwanza kwa kunishawishi kujiunga na chama hili............kumbuka maneno yako hapo juu.....................pili nimetimiza kusali Baba yetu zote pamoja na salamu Maria kwa ajili ya malipizi lakini lipizi moja sijalielewa pale uponieleza eti ule mvinyo niende nao hadi SISIMKO guest house uko nitakuta maagizo yote ya lipizi lililobakia......i'm confused Kaizer :A S confused:
 
Last edited by a moderator:
Elizabeth Dominic mi sijasemapo au sijakushwishi, ni utaratibu tu mi hapa nimekuwa msajili, babu Asprin mkaguzi, baas.

Mvinyo.....ndo ivo kuna malipizi mengine ni manual kama kulima kidogo bustani, ndio vireee...so nitakujapo hapo kwa utakaso wa mwisho
Kaunga sijui ako wapi naona kasahau nyengine...
 
Last edited by a moderator:
The Finest, ulipotelea wapi wewe? vipi nostalgia inakusumbua?
mla mla leo TF,achana na jf ya kale we enjoy kilichoko mezani.
 
Last edited by a moderator:

Aiseeh ngoja niangalie kwanza taratibu za hiki chama vyema maana kuna sehemu sijaipata inasema inatakiwa wanandoa ndio wajiunge.................afu hayo ya malipizi itabidi niende nikamuone baba Paroko kwa maelezo zaidi maana bado sijakusoma........kwani malipizi yangu yanafanana na ya Kaunga?
 
Last edited by a moderator:

hahaah Elizabeth Dominic malipizi hayafanani kila mtu na dhambi zake...paroko nipo tu we njoo muda wowote.

Hiki chama ndio ivo lazma uwe mwanandoa, kama badi basi unakuwa huqualify kabisa. hahaha check ur PM lol
 
Last edited by a moderator:
hahaah Elizabeth Dominic malipizi hayafanani kila mtu na dhambi zake...paroko nipo tu we njoo muda wowote.

Hiki chama ndio ivo lazma uwe mwanandoa, kama badi basi unakuwa huqualify kabisa. hahaha check ur PM lol

lolest................kuhusu utaratibu Kaizer
mi si mwanandoa lakini nimevutika japo hapo juu nilimkatalia Asprin lakini ukiwa mdau naomba mwongozo wako ili kujua kama kuna namna yoyote ya kubend hizi sharia ili nami nijumuike.........
 
Last edited by a moderator:
lolest................kuhusu utaratibu Kaizer
mi si mwanandoa lakini nimevutika japo hapo juu nilimkatalia Asprin lakini ukiwa mdau naomba mwongozo wako ili kujua kama kuna namna yoyote ya kubend hizi sharia ili nami nijumuike.........
Elizabeth Dominic, hatutazivunja sheria, kuna namna ya kuwa accommodate watu wa aina hiyo ya kwako, so mwongozo wangu ni kuwa ufike reception kwa usajili ili upewe taratibu nyingine za kujiunga...sawa?
 
Last edited by a moderator:
Elizabeth Dominic, hatutazivunja sheria, kuna namna ya kuwa accommodate watu wa aina hiyo ya kwako, so mwongozo wangu ni kuwa ufike reception kwa usajili ili upewe taratibu nyingine za kujiunga...sawa?
Sawa baba Kaizer ....................lakini usiniambie reception yenu iko Sisimko guest house
 
Last edited by a moderator:
lolest................kuhusu utaratibu Kaizer
mi si mwanandoa lakini nimevutika japo hapo juu nilimkatalia Asprin lakini ukiwa mdau naomba mwongozo wako ili kujua kama kuna namna yoyote ya kubend hizi sharia ili nami nijumuike.........

Ufafanuzi mwingine ni kuwa wanandoa ni lazima wahusike, si lazima wawe wote bali angalau mmoja wao. Mi nimeoa wewe waweza kuwa umeolewa au haujaolewa haijalishi. Kaizer naomba kibali hapa.
 
Last edited by a moderator:
Naomba kwanza upitie kwa hawa wafuatao kukamilisha hili, Erickb52, Bishanga, Asprin & Kaizer wakihalalisha tu mie utaniona......maana hawa majamaa wana midomo mirefu sanaaa
Hahahahahahaaaaaaa
We hata uue si hatuna Yummy ila RR akumbuke wewe ni wetu na hawezi ambulia kitu na akijaribu kukugusa midogo yetu itammaliza lol
 
Last edited by a moderator:
Ufafanuzi mwingine ni kuwa wanandoa ni lazima wahusike, si lazima wawe wote bali angalau mmoja wao. Mi nimeoa wewe waweza kuwa umeolewa au haujaolewa haijalishi. Kaizer naomba kibali hapa.

hommie Asprin apo ufafanuzi itafaa umpe wa kina akishakuja ndani kwa ukaguzi wa mwisho....fanya kazi yako hommie
 
Last edited by a moderator:
Ufafanuzi mwingine ni kuwa wanandoa ni lazima wahusike, si lazima wawe wote bali angalau mmoja wao. Mi nimeoa wewe waweza kuwa umeolewa au haujaolewa haijalishi. Kaizer naomba kibali hapa.

Mmmmmh......tricky, sasa Asprin yule asiye mwanandoa sheria zinamlinda vipi?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…