Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Wewe wewe unayenifanyiaga kitubio na kunitaka nifanye malipizi chungu mbovu leo hii tena wantaka nitumbukie dhambini........hapana kwakweli ka Kaizer miye labda ni mtazamaji tu halafu umenikumbusha kitu............
ooh Elizabeth Dominic...come and say it jamani
wapi tena nimekuongoza vibaya mbona shutuma zimekuwa nzito hivi?:A S cry:
Last edited by a moderator: