Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,655
hahahah Elizabeth Dominic reception haipo huko ipo parokiani!lol
Duh! kazi ipo ngoja niidaijesti hizi taarifa,........................Tumsifu Yesu Kristu lakini........
Milele Amina, Glory to God nasubiri feedback jamani...
hommie Asprin apo ufafanuzi itafaa umpe wa kina akishakuja ndani kwa ukaguzi wa mwisho....fanya kazi yako hommie
Umemsoma mwenyekiti hapo juu? Come zis way Elizabeth Dominic. Maswali mengine utajibiwa huku.Mmmmmh......tricky, sasa Asprin yule asiye mwanandoa sheria zinamlinda vipi?
ndugu yangu hujipendi?
Mmmmmh......tricky, sasa Asprin yule asiye mwanandoa sheria zinamlinda vipi?
Tumesalimika madame
Yaani Kaizer nina hasira sana.
Yaani bosi kaniamuru niwe navaa kimini bila pant
Afu nainama ili niwe meza yake ya kahawa so nakosa muda kabisa wa kuingia jamvini.
Aiseee...ngoja Asprin aje aweke picha itakayosawiri tukio hili maana yeye ndo mpiga picha mkuu
roho inaniuma sana aisee bosi wako anaitwa nani?
Anaitwa Tomasi
Can you imagine?
Kuna siku akaniwekea kiprinter chake kidogo mgongoni afu nikawa nimeinama chini ya meza yake karibu na kiti.
Basi kila saa anashika shika printer.
Heheheeee inahuuuMsalimike wapi? Nimeshawala boho(bone marrow) zenu zote.
Tena nataka kuhama fasta.
Hivi sheria za halasimenti zinasemaje?
Kongosho sheria ya mahusiano kazini 2004 iko wazi....hahaha "hairuhusiwi kumhalasi mjakazi wako. mpe kazi kwa kiasi, ukimpenda, suimwinamishe....usitake mgongo wake bila ridhaa, wala jicho lako lisimwangalie kwa husuda. Mpe stahili zake kama yanenavyo maandiko, kazi yake isiwe chanzo cha sononeko. Je, hukupewa vyote na Bwana wa Majeshi? basi usimtendee uovu mtumishi na mjakazi wako, asema Bwana."
Mwisho wa kunukuu