Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Sasa inakuwaje mazee hatutafutani tusaidiane kuichangia serkali yetu mapato kupitia vinywaji baridi na vya moto? Leo Fyatanga patanitambua!!
Usijali kiongozi bila sisi nchi haisogei hata kwa nukta. We drink they live
 
MIMI nashukuru hata maana ya hii kitu siijui...kama yupo mdada anaeweza kunielewesha itakuwa vizuri sana.
 
Hapana....huwezi kufanyia kwenye shamba lako la mihogo....sheria namba tisa...
Fanyia kwenye shamba, ila lisiwe lako....
By Katibu Mkuu ISC...
Hivi Smiles yuko wapi??

Roy ulinimiss eeh......?!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
thread of the threads.....!

MMU by then......!ilikuwa moto wa kuotea mbali....

smiles labda nikwambie tu chama kimekita mizizi sasa...
 
Hiyo ndiyo umeona ni njia rahisi ya kutangaza uanachama wako Smiles?

Ahaaa.... Glad to know that I have your attention! Ngoja na wengine waje.....

Smiles hebu come pande hizi.....uje na hizo 'zana' matata

Nakuja........

thread of the threads.....!

MMU by then......!ilikuwa moto wa kuotea mbali....

smiles labda nikwambie tu chama kimekita mizizi sasa...

Mizizi or no mizizi...... itang'oka tu!!:A S-coffee:
 
Ahaaa.... Glad to know that I have your attention! Ngoja na wengine waje.....



Nakuja........



Mizizi or no mizizi...... itang'oka tu!!:A S-coffee:

Wewe Smiles,

Hapa (blue) unaongea kama SHE au HE??

Kama ni hiyo ya kwanza basi ujumbe umefika, kwani big NO ya hao wadau maana yake taa zote GREEN!!

Labda ndo maana naona waheshimiwa wameshakaa mkao wa kula a.k.a kutafuna...uko tayari mama?
RR upo...??....kazi kwako, ushindwe mwenyewe...ila ukumbuke kuwa msaada wa wadau huwa uko mikononi mwako kwa 199%!!!

Bon chance'......!!!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom