Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Hapana sikubaliani nalo na ni wachache sana wanaokubaliana nalo lakini bado wake za watu wanamegwa nje....hapo sasa

Ok.... so hukubaliani lakini u are one among those wanaomega wake za watu.....? :confused2:
 
Ha Ha Ha Ha mjumbe bwana waht a question, hivi mumeo akimega nje inakuwaje utamuita umuulize halafu uingie kwenye sita kwa sita umuonyeshe how is it done

heheheheh..... sikuwa nayo hiyo akili lakini nashukuru kwa kunidokezea...... :confused2:
 
Men: If You are a Cheater, Follow the Rules!!!
If you are Cheating, you are a player,
you love the game,
you have to follow the rules,
let me tell you brother...
you are not alone in this game…
so many men out there are playing also...
there are so many rules, one of them is to try to be fare on the home grounds and put first priority…
in that way you will blind them and…
she wont see what you are doing out there...
also try to make sure you give enough love to the chicky as she might not be satisfied and have some substitutes also…

then BE WARNED; ...
womens are not the kind u can trust easily…
they are great liars,
great pretenders and …
they are born professionally with this...


naomba uanachama
 
Ok.... so hukubaliani lakini u are one among those wanaomega wake za watu.....? :confused2:

Hiyo ni siri yangu....cha muhimu ni nini utafanya pindi utakapofahamu juu ya uzinzi wa mwenzio. Utauvunja uhusiano? Utamtaliki? Au utamsamehe na kuendelea kuwa naye?
 
Hiyo ni siri yangu....cha muhimu ni nini utafanya pindi utakapofahamu juu ya uzinzi wa mwenzio. Utauvunja uhusiano? Utamtaliki? Au utamsamehe na kuendelea kuwa naye?

Nafikiri hiyo itabaki kuwa siri yangu pia......
 
Men: If You are a Cheater, Follow the Rules!!!
If you are Cheating, you are a player,
you love the game,
you have to follow the rules,
let me tell you brother...
you are not alone in this game…
so many men out there are playing also...
there are so many rules, one of them is to try to be fare on the home grounds and put first priority…
in that way you will blind them and…
she wont see what you are doing out there...
also try to make sure you give enough love to the chicky as she might not be satisfied and have some substitutes also…

then BE WARNED; ...
womens are not the kind u can trust easily…
they are great liars,
great pretenders and …
they are born professionally with this...


naomba uanachama


Nimeipenda hiyo
 
Ni busara tu....unapopata nafasi ukaitumia sio sheria....hakuna muda muafaka wa infidelity kwa kila mtu.....

nimekupata mkuu, nakutakia kila la kheri usikamatwe na mwenza wako halali kwa kile kinachohusu/linalohusu infidelity.
 
hehehehehe!
asaaalaaaam alerkuuum NYANI NGABU!.....
nimekupata vizuri sana

COPY THAT
 
Nilikuwa kwenye maombi kupiga hii kitu very soon something will happen
kwa wale wote walio chama pinzani nawaunga mkono big up!!
 
I wonder what about.......:confused2:

Especially when it comes to INFIDELITY niliuliza nikiwa mjumbe wa bodi naweza kufanya INFIDELITY na mjumbe mwenzagu nikaambiwa yesss so i hope u understand what I mean.
 
Nilikuwa kwenye maombi kupiga hii kitu very soon something will happen
kwa wale wote walio chama pinzani nawaunga mkono big up!!

Lily Flower wher have you been hiding I have missed you, mbona askofu naye yuko kwenye list ya INFIDELITORS au haujaangalia vizuri huwa anatusaidia kwenye maombi pia.
 
AASALAAAM alerkuuum mwanajamiione!
nimekupata uzuri kwakweli maanake UKIMYA WAKO UNAPIGA KELELE KUU kinyume na matarajio ya masikio yangu!......

copy that!..
 
hehehehehe!
asaaalaaaam alerkuuum NYANI NGABU!.....
nimekupata vizuri sana

COPY THAT

Slogan ya chama: INFIDELITY IS THERE TO STAY!

NN kakisaidia chama kutupa motto: INFIDELITY IS INEVITABLE!!

Long live infideletaz....Long live infideleez!
 
Especially when it comes to INFIDELITY niliuliza nikiwa mjumbe wa bodi naweza kufanya INFIDELITY na mjumbe mwenzagu nikaambiwa yesss so i hope u understand what I mean.

Mmh.... I dont copy!!! :confused2::confused2::confused2:
 
Back
Top Bottom