Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Mpwa inakuwaje unaingia uvunguni mwa big brother bila ruhusa? Hapo nina hatimiliki ujue!

Mpwa Big Brother akiwa hayupo lazima kuna kuwa na waangalizi ili ku-make sure INFEDILITORS hawaasi chama
 
ASALAAAAM aleeerrkuuum CCM OOYE......!
nakuona hapa unaifuatilia hii thread
lakini the way i see it ni kama umepotea njia vile!naomba usepe kama vipi
 
Slogan ya chama: INFIDELITY IS THERE TO STAY!

NN kakisaidia chama kutupa motto: INFIDELITY IS INEVITABLE!!

Long live infideletaz....Long live infideleez!
ASALAAAAAAAM arlekuum OODIIIEMU mu-baba ya kaunta!munisi mary nitakukabidhi jumamosi kwa sababu SHARING IS CARING
 
Lily Flower wher have you been hiding I have missed you, mbona askofu naye yuko kwenye list ya INFIDELITORS au haujaangalia vizuri huwa anatusaidia kwenye maombi pia.

As said nilikuwa kwenye maombi mazito ya kupinga katiba ya Teamo and Team but am back now

everything ok??
 
ASALAAAM arleeekuuum THE FINEST!......
umeingia kwenye ujumbe wa bodi siku za karibuni lakini moto wako ni hatari kuliko hata wengi tulivyotegemea

kama bonasi ni kwamba kikao kikubwa kinaandaliwa maalum kwa ajili ya kukupongeza wewe tu...
hilo swala tayari liko mezani kwa muhasibu.
utapigiwa simu
 
ngoja nimuombe Mwenyekiti sijui Katibu aandae party mwisho wa mwaka ili watu tupate kuongezeana majuzi live.
 
Na vingine ukiridhia....wajumbe wana haki ya KUTUMIANA na uongozi!

hahahhahah......

NO WAY!!:mad2::mad2:
Umesahau mi niko kwenye kambi ya upinzani eeh......

"SAY NO TO INFIDELITY....AND YES TO TRUE AND EVERLASTING LOVE" :smile-big::smile-big::smile-big:
 
As said nilikuwa kwenye maombi mazito ya kupinga katiba ya Teamo and Team but am back now

everything ok??
ASALAAAAAM arleekuuum MAMAA LA LILY FLAWA!.....
nilikumisi sana mchizi wangu
unajua nini......!
HATA BIBI ALIKUWA DADA!nitakupigia simu sasa hivi......
 
ngoja nimuombe Mwenyekiti sijui Katibu aandae party mwisho wa mwaka ili watu tupate kuongezeana majuzi live.
ASALAAAM arleeekuummwanachama wa kudumu ma-maaa la biuti!
ombi lako limefika kama moshi wa ubani!
mimi kama katibu-wa -propaganda nakuhakikishia WE WILL GO THROUGH YOUR PLAN!
kikubwa ni kutafuta lokesheni ambayo ina gesti zenye vyumba vingi kidogo maanake tuko wengi sana:becky::becky::becky:
 
Ngoja niwatafute wajumbe wa bodi kuja kujadili huu mswada kabla haujasainiwa

Mwenyekiti - Pope Kaizer
Katibu - St. Roya Roy
Mweka hazina - Big braza Asprin -ODM
Katibu mwenezi - Bigirita
Mshauri mkuu - Fidel
Wajumbe: The Finest, Masanilo, Dreamliner,Askofu,Kimey,Klorokwini,Maskini Jeuri,D5, Msanii, Dark City,Smiles, Beauty, bht,fanta,bacha,Jamii Forums, Acid,Teamo
Wajumbe toka kambi ya upinzani: Carmel. Nyamayao, MJ1,Mwalimu Gaijin, ZD,Shishi,Mom......na wote wenye mapenzi mema na infidelity.:welcome::welcome::welcome:

Mkuu

Nami ni mjumbe katika Kamati. Naona ulinisahau kwa bahati mbaya.
 
ASALAAAM arleeekuummwanachama wa kudumu ma-maaa la biuti!
ombi lako limefika kama moshi wa ubani!
mimi kama katibu-wa -propaganda nakuhakikishia WE WILL GO THROUGH YOUR PLAN!
kikubwa ni kutafuta lokesheni ambayo ina gesti zenye vyumba vingi kidogo maanake tuko wengi sana:becky::becky::becky:
safi sana katibu, hakikisha gesti zina upepo wa kutosha na mwanana ikiambatana na hali ya hewa ya kuridhisha tafadhali.
 
ASALAAAAAM arleekuuum MAMAA LA LILY FLAWA!.....
nilikumisi sana mchizi wangu
unajua nini......!
HATA BIBI ALIKUWA DADA!nitakupigia simu sasa hivi......

Waiting for your call ukutane na nguvu za maombi
 
Mkuu

Nami ni mjumbe katika Kamati. Naona ulinisahau kwa bahati mbaya.
ASALAAAAAM erleeekuuum mjumbe!...
tuko pamoja sana na nimeona makeke yako kwenye yuziful post kule!

naomba unipiemu kwa maelezo zaidi
 
safi sana katibu, hakikisha gesti zina upepo wa kutosha na mwanana ikiambatana na hali ya hewa ya kuridhisha tafadhali.
hehehehe!
umesomeka mwanachama wetu mwaminifu!
ngoja nimpigie meneja wa MAHABA BEACH pale boko nione inakuwaje...!
just now....
okay okay simu inaita sasa...............
 
ASALAAAM arleeekuuum THE FINEST!......
umeingia kwenye ujumbe wa bodi siku za karibuni lakini moto wako ni hatari kuliko hata wengi tulivyotegemea

kama bonasi ni kwamba kikao kikubwa kinaandaliwa maalum kwa ajili ya kukupongeza wewe tu...
hilo swala tayari liko mezani kwa muhasibu.
utapigiwa simu
Mhasibu niko hapa...Ze Finest hebu subiri :A S 100: kwa ajili ya logistics za :A S-heart-2::violin::drum::fish2::bathbaby::lalala::cheer2::laugh:
 
Back
Top Bottom