Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Hivi threesome inakubalika kwenye infidelity?
 
REJEA SHERIA NAMBA 3

3-INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI

Sasa mbona havihusiani......
NO TO INFIDELITY!!!
 
Mjukuu rejea kifungu kidogo ibara ya tatu...wewe una setifiketi ya kudeal na viongozi waandamizi:A S 8::A S 8:
Babu nafasi za upendeleo mie ndo sitaki Babu.... kwanza we mwenyewe ulinifundishaga kuwa mtoto wa kike lazima agangamale... leo unakiuka??
 
Hahah Teamo, Babu yangu na Roya mmedata... Yaani nimecheka hadi machozi yamenitoka machoni
 
Hivi threesome inakubalika kwenye infidelity?

Namkosalt cheaman tuunde probe committee....:confused2::confused2:

The only difference btn a 3some na sheria namba tatu ni sualala muda...kwamba 3some inafanyika muda huo huo aka simultaneously, wakati kwa sheria namba tatu ni kupasiana lakini muktadha ni huo huo.,.....
 
The only difference btn a 3some na sheria namba tatu ni sualala muda...kwamba 3some inafanyika muda huo huo aka simultaneously, wakati kwa sheria namba tatu ni kupasiana lakini muktadha ni huo huo.,.....
Mwenyekiti naona mimi nimeweka kile kifungu kido ambacho tulikuwa bado tunadiscuss kama tukibadilishe wording yake au vipi.
Hakijaharibika kitu lakini chairperson
 
Namkosalt cheaman tuunde probe committee....:confused2::confused2:
pamoja jogoo

Unajua tusi tukafanya kosa kama lile la sheria nchini mwetu kutokujua nini cha kufanya na hawa mafisadi aisee
 
The only difference btn a 3some na sheria namba tatu ni sualala muda...kwamba 3some inafanyika muda huo huo aka simultaneously, wakati kwa sheria namba tatu ni kupasiana lakini muktadha ni huo huo.,.....
poa, hebu chapa hiyo ammendment kwenye sheria mama au undia kifungu kidogo cha sheria ili someke wazi kuondoa utata na miluzi kutoka kwa members
 
Mwenyekiti naona mimi nimeweka kile kifungu kido ambacho tulikuwa bado tunadiscuss kama tukibadilishe wording yake au vipi.
Hakijaharibika kitu lakini chairperson

Minuted!
 
Mwenyekiti naona mimi nimeweka kile kifungu kido ambacho tulikuwa bado tunadiscuss kama tukibadilishe wording yake au vipi.
Hakijaharibika kitu lakini chairperson
thanks mkuu

maana haya mambo ya field mabaya sana aisee... tunaweza kuchakachua per diem kirahisi sana kama tutakubali threesome na hivyo kuspend only a thrid of the budget

hii ni bora kwa maendeleo ya taifa letu changa lenye miaka hamsini
 
What is going on in here... nimesoma mwanzo-mwisho sijaelewa...:glasses-nerdy:
 
What is going on in here... nimesoma mwanzo-mwisho sijaelewa...:glasses-nerdy:

Usirudi tena hapa mtumishi....usirudi tena.....na usipende kuelewa...ilikua ni diskashen ya uchaguzi....ukizingatia nyie watumishi hamtakiwi kuchanganya kazi zenu na siasa...
 
What is going on in here... nimesoma mwanzo-mwisho sijaelewa...:glasses-nerdy:

Askofu usiwe na wasiwasi vitu kama hivi hauhitaji kusoma haraka haraka unasoma taratibu tena kwa makini kama vile mtu ukiwa unasoma SOMO LA KWANZA kanisani au kama vile inavyosomwa INJILI kanisani ndio utaelewa kwahiyo nakushauri usome UPYA, TARATIBU, na kwa UMAKINI hiyo ndio kauli mbiu yetu ukiwa unasoma kitu chochote kwenye CLUB yetu ya INFI. Karibu Sana ushauri na maombi yako ni ya thamani sana.
 
Usirudi tena hapa mtumishi....usirudi tena.....na usipende kuelewa...ilikua ni diskashen ya uchaguzi....ukizingatia nyie watumishi hamtakiwi kuchanganya kazi zenu na siasa...

Mwenyikiti usijali nimempa Baba Askofu waraka wetu na mwongozo kwahiyo natumaini ataelewa tu
 
What is going on in here... nimesoma mwanzo-mwisho sijaelewa...:glasses-nerdy:
Askofu

Chapa sala na mafungo wiki tatu tu na utapata ufunuo wa haya yanayoendelea

Kunguru kanyea manati
 
Back
Top Bottom