Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Zijue sheria ''mama' za infidelity...

MESSAGE HII IENDE KWA ASKOFU: Unywaji (hasa wa bia) hauhitaji meno, hata kibogoyo anakunywa!!

Kumbe wewe ndio Sista Gabriella a.k.a Ze Finest... Message Overstood... n Understood... Divai inahusika kwenye "Unywaji"
 
swali kwenu wanachama wa Infedelity,
infidelator/infideletee anapofariki dunia halafu anakwenda kuzikwa mbali na ulipo Je, huwa unahudhuria maziko???? na nyumbani unaaga kuwa unakwenda wapi? na kazini unaagaje??? au huwa mnapendana mkiwa hai tu????:A S 39:
(wapi mshauri mkuu Fidel80):ranger:
 
Ilikuwa Happy Besdei to yuu ya Teamo.... Kama huamini angalia hapa chini...

Nashukuru Askofu uko mstari wa mbele kusapoti INFI CLUB tunashukuru sana naomba uendelee na moyo huo huo nafikiri kitengo cha VINYWAJI kitakufaa sana tukiwa tunaanda halfa zetu
 
Kumbe wewe ndio Sista Gabriella a.k.a Ze Finest... Message Overstood... n Understood... Divai inahusika kwenye "Unywaji"

Askofu nitakuwa sileti waumini kanisani kwako na wala nitakuwa sitoi zaka wewe shauri zako subiri tu
 
Nashukuru Askofu uko mstari wa mbele kusapoti INFI CLUB tunashukuru sana naomba uendelee na moyo huo huo nafikiri kitengo cha VINYWAJI kitakufaa sana tukiwa tunaanda halfa zetu

We korofi sasa...
 
Nashukuru Askofu uko mstari wa mbele kusapoti INFI CLUB tunashukuru sana naomba uendelee na moyo huo huo nafikiri kitengo cha VINYWAJI kitakufaa sana tukiwa tunaanda halfa zetu

Huyu baba skofu haisapoti ISC, huyu ni mwanachama hai. Na mchango wa Septemba kashalipa. Risiti ntampelekea leo pale Zero Pub!
 
Ze Finest, kabla ya kikao cha mwisho naomba nifanye maombi na wewe... , hayo niliyoeleza hapo juu... nimepata maono kwamba nikifanya maombi na wewe hata club members wengine watapata upako... Thru You... Did I hear anyone say AAMEN!!!

Ameeeeeeeeeeeen.....................
 
Baba Askofu hapo kwenye red sheria ya chama changu inasema siwezi kufanyiwa maombi kwa kuwa tayari niliishafanyiwa wakati naingia kwenye chama halafu unakumbuka jana baada ya mimi kukuacha pale Breakpoint Bar na Eliza leo kanipigia simu kasema anaomba usikose kwenda tena amefurahi huduma yako.

:confused2::confused2::confused2::confused2:
 
Ameeeeeeeeeeeen.....................

Smiles habari za asubuhi za tokea jana natumaini haujaamka na hangover jana tulivyoachana mimi nilienda nyumbani sijui wewe ulienda wapi halafu haukumalizia valuer yako ulibakiza nusu chupa ila nimemwambia eliza aiweke leo jioni tukifika pale utaikuta
 
Huyu baba skofu haisapoti ISC, huyu ni mwanachama hai. Na mchango wa Septemba kashalipa. Risiti ntampelekea leo pale Zero Pub!

Vizuri sana baba askofu alisema huwa hapendi kuweka limbikizo la madeni
 
Smiles habari za asubuhi za tokea jana natumaini haujaamka na hangover jana tulivyoachana mimi nilienda nyumbani sijui wewe ulienda wapi halafu haukumalizia valuer yako ulibakiza nusu chupa ila nimemwambia eliza aiweke leo jioni tukifika pale utaikuta


(Duh...! I hope mweka hazina hajasoma hapo juu...!!! :becky::becky::becky::becky🙂
:drum::drum::drum::drum::drum:
 
(Duh...! I hope mweka hazina hajasoma hapo juu...!!! :becky::becky::becky::becky🙂
:drum::drum::drum::drum::drum:

Ni kweli, sijatoka na mawani yangu leo!!:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:
 
(Duh...! I hope mweka hazina hajasoma hapo juu...!!! :becky::becky::becky::becky🙂
:drum::drum::drum::drum::drum:

Muhimu leo muda ule ule kama jana vimiminika vile vile kama jana sehemu ile ile kama jana maongezi yale yale kama jana
 
Ni kweli, sijatoka na mawani yangu leo!!:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:

Ah very good.....wala huhitaji miwani yako leo!
mi ntakusaidia kusoma sawa...?!:becky:
 
Ni kweli, sijatoka na mawani yangu leo!!:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:

Mweka hazina jana bwana kuna mtu alitaka ku du ze nid ful kwa Smiles sasa nikakumbuka kuwa ulishaweka COPYRIGHT ikabidi mjumbe nichukue jukumu la ulinzi first class security
 
Muhimu leo muda ule ule kama jana vimiminika vile vile kama jana sehemu ile ile kama jana maongezi yale yale kama jana

*He He He*
hizi ni kampeni za kunichonganisha na mweka hazina....
 
Back
Top Bottom