Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Zijue sheria ''mama' za infidelity...

Wala madogo sana wewe ingia kundini utaona usisikilize habari za kusimuliwa IF YOU CANT BEAT THEM THEN JOIN THEM

Hapo sina uhakika sana :confused2: especially when it comes to the "infi club"
Lewinsky nakushauri ulifikirie kwa makini hilo
 
Chama kiko makini, kilishaliona hilo na sheria yake ni namba sita


6-INFIDELATORS/INFIDELETEES lazima awe na ''defined-marital status'',lazima awe ameoa/ameolewa (huwezi kufanya infidelity wakati wewe hujaoa-hapo unakuwa unafanya zinaa tu!...infidelity kwa ujumla wake lazima kwanza uoe/uolewe:eyebrows::eyebrows::eyebrows:!samahani kama nawakwaza hapa ndugu zangu).

Pete si kikwazo cha infidelity...... Hivi si zinauzwa nyingi tu pale Kariakoo?

:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2: 😛layball:😛layball:😛layball:
 
Hapo sina uhakika sana :confused2: especially when it comes to the "infi club"
Lewinsky nakushauri ulifikirie kwa makini hilo

Soma habari yake utajua kuwa yuko kwenye chama muda mrefu bila yeye kujijua sema tu alikuwa bado hajalipia ada ya uanachama
 
Kakague kwenye ziiiiiii pale nimekugongea

ZD mambo??
Hapa naweka kumbukumbu za kikao cha mainfii....sasa hebu nifafanulie hapa, nisije nikanukuu sivyo...
Ila cha muhimu kujua ni kwamba infidelity itaisha siku majembe yote yakipotea....
 
ZD mambo??
Hapa naweka kumbukumbu za kikao cha mainfii....sasa hebu nifafanulie hapa, nisije nikanukuu sivyo...
Ila cha muhimu kujua ni kwamba infidelity itaisha siku majembe yote yakipotea....
Ufafanuzi zaidi.....majembe ya infii yanapoteaje? hao mainfii ni wanachama wetu?
 
ZD mambo??
Hapa naweka kumbukumbu za kikao cha mainfii....sasa hebu nifafanulie hapa, nisije nikanukuu sivyo...
Ila cha muhimu kujua ni kwamba infidelity itaisha siku majembe yote yakipotea....

Kiwanda cha majembe kina mali ghafi za kutosha for the next coming 80 centuries
 
Back
Top Bottom