steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,175
- 1,588
Mwanaume wa Dar anasifa zifuatazo.
1. Mzembe kiasi kwamba mbu tu anamuua kwa dawa ya tsh 8000.
2. Anapenda kula chips kuliko ugari.
3. Anatumia vumbi la Congo,putululu,kasongo mundende,kiboko ya mama Paulina nk.
4. Amepanga chumba na sebure ana miliki gari linalala fuel station.
5. Akiachwa na demu anajifungia ndani analia.
6. Amejiunga ma group 18 ya whatsapp.
7. Anaogopa mende,mjusi na nyeyere akiwaona anakimbia.
8. Anapenda kupiga picha kwenye kioo cha choo ya bar
9. Anapenda kubet huyooooo
Sent using jamii forums mobile app
1. Mzembe kiasi kwamba mbu tu anamuua kwa dawa ya tsh 8000.
2. Anapenda kula chips kuliko ugari.
3. Anatumia vumbi la Congo,putululu,kasongo mundende,kiboko ya mama Paulina nk.
4. Amepanga chumba na sebure ana miliki gari linalala fuel station.
5. Akiachwa na demu anajifungia ndani analia.
6. Amejiunga ma group 18 ya whatsapp.
7. Anaogopa mende,mjusi na nyeyere akiwaona anakimbia.
8. Anapenda kupiga picha kwenye kioo cha choo ya bar
9. Anapenda kubet huyooooo
Sent using jamii forums mobile app