Zijue taasisi zinazoongoza kwa unafiki duniani!

Zijue taasisi zinazoongoza kwa unafiki duniani!

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Taasisi ya kwanza ni Zionists ama Wayahudi. Hawa ni nambari Wani. Tunakumbuka walivyompokea Yesu akiingia Yerusalemi. Walidiriki hata kumtandikia kanga apite juu asikanyage ardhi tena akiwa juu ya punda. Walimshangilia sana.

Lakini siku Yesu alipokuwa akisulubiwa ni hao hao walishangilia hadi watoto waliokuwa matumboni waliimba, "asulubiwe, asulubiwe". Hadi leo hawamtambui Yesu.

Taasisi ya pili ni CCM. Hawa wametia fora. Alipoteuliwa Sophia Mjema kuwa Katibu wa H/K Itikadi na Uenezi walishangilia kweli na kumtukana Shaka Hamdu Shaka kwamba amepoa hafai. Leo wanamshangilia "Naibu Rais" Paul Makonda na kudai enzi za Mjema chama kilipoa.

Natambua siku za Makonda zimeanza kuhesabiwa. Soon anapigwa chini na kuinuliwa Mkuu wa Mkoa fulani. Naye Makonda watadai alimpoka Rais madaraka na kukigawa chama. Unafiki mtupu!

Ova!
 
Swissme
 

Attachments

  • Screenshot_20231112-134642.png
    Screenshot_20231112-134642.png
    211.4 KB · Views: 3
Lakini siku Yesu alipokuwa akisulubiwa ni hao hao walishangilia hadi watoto waliokuwa matumboni waliimba, "asulubiwe, asulubiwe". Hadi leo hawamtambui Yesu.
Yesu alikuwa akitimiza maandiko. Alisulubiwa, AKAFA, na siku ya tatu AKAFUFUKA. Yeye ndio mweye funguo za MAUTI na kuzimu. Yeye ameshinda kifo, kaburi, mauti na kuzimu yote ambaye kila goti litapigwa na kila ulimi lazima ukiri kuwa yeye ndiye Bwana wa Mabwana na mfalme wa wafalme.
 
Taasisi ya kwanza ni Zionists ama Wayahudi. Hawa ni nambari Wani. Tunakumbuka walivyompokea Yesu akiingia Yerusalemi. Walidiriki hata kumtandikia kanga apite juu asikanyage ardhi tena akiwa juu ya punda. Walimshangilia sana.

Lakini siku Yesu alipokuwa akisulubiwa ni hao hao walishangilia hadi watoto waliokuwa matumboni waliimba, "asulubiwe, asulubiwe". Hadi leo hawamtambui Yesu.

Taasisi ya pili ni CCM. Hawa wametia fora. Alipoteuliwa Sophia Mjema kuwa Katibu wa H/K Itikadi na Uenezi walishangilia kweli na kumtukana Shaka Hamdu Shaka kwamba amepoa hafai. Leo wanamshangilia "Naibu Rais" Paul Makonda na kudai enzi za Mjema chama kilipoa.

Natambua siku za Makonda zimeanza kuhesabiwa. Soon anapigwa chini na kuinuliwa Mkuu wa Mkoa fulani. Naye Makonda watadai alimpoka Rais madaraka na kukigawa chama. Unafiki mtupu!

Ova!
Ndg umelinganisha viwili tofauti.
Wayahudi kama ilivyokuwa kwa Farao Mungu aliwafanya kuwa na mioyo migumu ili ajidhihurishe kwao.
Wao walimuua lakini Mungu akamfufua na uwezo na nguvu ya Mungu ikaonekana ,wengi wakaamimi na kumtukuza Mungu.
 
Nasikia huko kwa Mwalimu kapewa ile fimbo, natamani hata niirushe hii simu ipasuke vipande vipande
 
Taasisi ya kwanza ni Zionists ama Wayahudi. Hawa ni nambari Wani. Tunakumbuka walivyompokea Yesu akiingia Yerusalemi. Walidiriki hata kumtandikia kanga apite juu asikanyage ardhi tena akiwa juu ya punda. Walimshangilia sana.

Lakini siku Yesu alipokuwa akisulubiwa ni hao hao walishangilia hadi watoto waliokuwa matumboni waliimba, "asulubiwe, asulubiwe". Hadi leo hawamtambui Yesu.

Taasisi ya pili ni CCM. Hawa wametia fora. Alipoteuliwa Sophia Mjema kuwa Katibu wa H/K Itikadi na Uenezi walishangilia kweli na kumtukana Shaka Hamdu Shaka kwamba amepoa hafai. Leo wanamshangilia "Naibu Rais" Paul Makonda na kudai enzi za Mjema chama kilipoa.

Natambua siku za Makonda zimeanza kuhesabiwa. Soon anapigwa chini na kuinuliwa Mkuu wa Mkoa fulani. Naye Makonda watadai alimpoka Rais madaraka na kukigawa chama. Unafiki mtupu!

Ova!
Ulitaka kuizungumzia ccm ila tambua ccm ni lidude likubwa alafu linakubalika hata kwa lazima sio hiari tu. Ukumbuke ccm ndio chama tawala ndio chama kilichofanya mapinduzi. Sio mshabiki wa siasa ila ccm ina watu wake na figisu wanazielewa
 
Back
Top Bottom