Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Habari yenu Tanesco,Natokea wilaya ya Mwanga,kijiji cha Kilaweni,Nilifanyiwa sarvey nikaambiwa gharama yangu ni laki tatu na Therathini na saba,Wakati hapo nguzo haiko mbali na kwangu ila sababu niliyopewa nikuwa waya utapita juu ya paa la nyumba ya mtu,Sasa pale nilipo sio mbali na kijiji kimoja ambacho kuna mradi wa Rea,Swali langu ni kuwa kama kule kijijini gharama ya laki tatu ni nyingi sana jamani,Naombeni ushauri wenu
 
Naomba namba za meneja wa REA
 
Ngoja ni-subscribe huu uzi kwa rejea kwani una miongozo mizuri kuhusu namna bora ya kupatiwa Huduma ya Umeme.
 
Je agizo la Waziri wa nishati Dr Kalemani la kuitaka TANESCO isiuzie wateja nguzo linatekelezeka au ilikuwa siasa tu?

Nina nyumba ipo umbali wa kama nguzo 4 hivi roughly.

How much will it cost?
 
Je agizo la Waziri wa nishati Dr Kalemani la kuitaka TANESCO isiuzie wateja nguzo linatekelezeka au ilikuwa siasa tu?

Nina nyumba ipo umbali wa kama nguzo 4 hivi roughly.

How much will it cost me?
Hilli ni tatizo, Morogoro bado nguzo zinauzwa sasa sijui tufate yepi! Yaani Waziri Mkuu kasisitiza sana na kweli tunawapongeza lakini watendaji wanatutolea bili za ajabu sana. Nawaomba viongozi wetu watembelee TANESCO Morogoro
 
Songea nina mwez wa 3 tangu nijaze fomu mpaka Leo hawajafika Ku survey kila nikienda wanasema wanakuja lakin hakuna kitu.nyumba ipo hapa hapa mjin block TT plot 274 mkuzo luwawasi.fomu imejazwa jina Hussein Asedi Mgao.no ya sim 0624 999 816.wenyewe wanasema ndani ya wiki watakuwa wamemhudumia mteja.lakin in uongo mtupu kila nikienda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni kiasi gani kwa mita mypya kwenye nyumba yenye...umeme inayo hitaji umeme wa nyongeza ya mita…?
 
Nimefuata taratibu zote, ila nimekwama kupata control number , waliniambia eneo langu lina mita 89 niandike barua ipitie kwa mtendaji kama nitakuwa tayari kujilipia mwenyewe . Kwakuwa nilikuwa nahitaji huduma kwa haraka zaidi lakini sasa inakata wiki ya pili sijasikia chochote kutoka kwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu je inaruhusiwa kkama unanyumba mbili moja kubwa na nyingine umejenga pembeni unaruhusiwa kuunganisha waya kutoka kwenye nyumba kubwa kuja kwenye nyiumba ndogo ukatumia mita moja tu?
 
mkuu je inaruhusiwa kkama unanyumba mbili moja kubwa na nyingine umejenga pembeni unaruhusiwa kuunganisha waya kutoka kwenye nyumba kubwa kuja kwenye nyiumba ndogo ukatumia mita moja tu?
Sera ya TANESCO ni kufunga mita moja ya umeme kwa kila nyumba/jengo.
Imezoeleka kuona uunganishaji wa nyaya za umeme kutoka nyumba, hasa kubwa, kwenda majengo ya jirani.
Huu utaratibu si mzuri kwa minajiri ya usalama dhidi ya matukio ya ajali za moto na udhibiti ufuatiliaji wa mitandao ya nyanya ya zilizotandikwa kwenye majengo husika.
 
Hayo makadirio ya muda yamewekwa ili kuonyesha kuwa Tanesco wako efficient, hali halisi nitofauti kabisa. Tangu kukamilisha fomu hadi surveyor kuja kupima inawweza kuchukua miezi sita maana wako wachache na hawana vyombo vya usafiri.
Laiti mishahara ya wafanyakazi wa tanesco ingekuwa unatokana na mauzo ya umeme, nadhani efficiency ingekuwepo, lakini sasa, wauze umeme wasiuze mishahara yao wanakosa?
 
Nyumba ya kupanga tunahitaji mita nyingne ili ziwe mbili. Je taratibu gani zifuatwe mpaka kupata mita nyingne?
 
Tanesco
 
Separate meter maana yake ni Luku nyingine au ni kale kamashine kanakohesabu unit? Na je gharama za kuwa na separate meter ni kiasi gani? Nikihitaji Luku meter nyingine ili wapangaji wawe na luku yao na Mimi niwe na yangu natakiwa nifanyeje na malipo ni kiasi gani?
 
Ndugu TANESCO nimelipia umeme Nguzo2 urefu Mita100
kuanzia mwaka jana tareh19/10/2016 mpka Leo tarehe 24/04/2017 sijaunganishiwa umeme nimekuwa mtu wakuzungushwa kila nikienda Tanesco nazungushwa nimechoka.
Niliambiwa ndani ya siku60
TANESCO kwanini mteja wenu lazima alipie nguzo wakati waziri kasema ni bure? Mnashindwa nini kusoheza huduma kwa mteja atakayelipia maisha yote kuunganisha na umeme? Kwani atalipia umeme mpaka na watakuu? Botswana hakuna mteja Kulipia nguzo lakini Tanzania ni lazima.
Kwa mfano mobisol sola wats 200 unipia kiwango cha kuanzia 180 halafu unanalipia 117 kila mwezi kwa miaka 2,baada ya hapo hutozwi tena mpaka watukuu, na unatumia feni,Firiji ,TV na pasi unalipa kwa miezi 24 kidogo kidogo baadaye hulipi kabisa, mnaonaje na ninyi wateja wenu wawe wanalia kidogo mpaka wamalize deni lenu ? Kwasababu watalipa pesa tanesco milele pesa.mimi ni Donald Machombo toka Urambo.namba yangu 0623644349,wapeni services line wateja wenu ili mkusanye pesa milele.mwwisho watu wanachagua mobisol kwani wakilamiza deni hawalipi Bill milele.
 
Hamna taratibu zozote nyinyi ni jipu..UBENANI(Vikindu)..mwaka huu nguzo tano kutuletea ili baadhi ya nyumba ziwake umeme hamtaki kweli Mwenye nyumba kafa tambeni tu
 
Tupeni taratibu za kuingiza umeme kwa sasa maana hii post ni ya kitambo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…