Zijuwe dalili za kabla ya kuachwa.


Mkaachana au?
 
Mkwaruzo bana yamekukuta nini maana du umeongea kweli tupu.........................
 
chentuntu pole sana lakini wengine hawaendi nazo popote lakini izo password hamna utaloona utaishia kuziona zinapiga mbizi humo ndani yaliyomo siri ya mwenyewe.


 

Dada Lizzy mbona hapo zipo dalili za watu mchanganyiko ila tunazihitaji za ziada tuweze kujizatiti na balaa hili la kuachwa.
 
Mkwaruzo bana yamekukuta nini maana du umeongea kweli tupu.........................

japokuwa nimezisikia sehemu ila nami nimejaribu kuziweka zile zilizonikuta mm mwenyewe japo kuwa nilijua kuwa nipo hatarini lkn nitafanyaje coz tulikuwa far apart in location kwa kipindi hicho.
 
kawaida nikiona hizi dalili,mapema namaliza mahusiano hata kama nimependa kupita maelezo,bora nikalilie mbele ya safari kabla mahusiano hayajafika pabaya zaidi

hujawahi kupenda katika maisha yako, naomba one day ikutokee upende kama tulivyowahi wenzako then utaona ugumu wa kufanya maamuzi yako.
 
enzi hzo tukiwa skul, alianza kwa kutojb kadi zangu nilimtumia zaidi ya kadi 5 lakini akamute. mwishowe nikamkuta kafungiwa na mjeda kambini japo baadae aliachwa naye pia na sasa ananililia its too late.
 
Basi mapenzi hujayafaidi. Raha ya mapenzi upitie engo zote. Pande za maumivu japo kidogo na za maraha kwa sana tu.
Dude! Kwani kuachwa ndio kuna dhihirisha kuwa umeyafaidi mapenzi?
 

Ingawa huku-specify kwamba dalili za kuachana kwa wachumba au wanandoa???
Lakini ni point zuri hasa hapo kwenye red
 

umenisaidia my dearest, hii ya kwangu haikuwa ishu ya kusoma alama za nyakati wala nn, hatukuwa na ukorofi/mgongano wowote kwa wakati huo, yeye ndie alienical tukapate dinner tena na mabusu motomoto kama ulivyosema, nimerudishwa home kwa kumbatio tamu la mahaba, nimelala nikitabasamu....kweli ya kesho anayajua Mungu.
 
ya nyama yao ndiyo kama hayo ya mvua bila ya mawingu ila hayo siyo sana kutokea.

the guy was smart...nilikuja kugundua alikuwa ana uhusiano na wengine wawili,baada ya 2kio sasa frnds ndio wananipa michapo, cjui alikuwa anajipanga vipi coz mie nilikuwa nikimhitaji nampata bila wacwac, ckuona ishara yoyote, kwake nina fungua, weekend ni mama wa nyumba, ckuwahi kuona mashaka kuanzia cm/kwake wala chochote...baada ya muda mnakutana town kakombatia karembo...lile lijamaa liliniumizaga roho sana aisee but limenisaidia kunikaribisha kwenye ulimwengu wa kuvunjwa vunjwa moyo.
 

jamani ndoa zina mambo jamani...khaa hii taasisi inatesa bwana.
 
Pole chetuntu hyo ni mitihani ktk maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…