Dude! Kwani kuachwa ndio kuna dhihirisha kuwa umeyafaidi mapenzi?
Sio wote ndugu yangu,Mimi siku nilipoachwa na Mume wangu wala sikutegema kwanza nilikuwa nimefunga sunna siku ya Jumatatu Mume karudi na cake ya Love kanikuta najiaandaa kuswali nimemaliza naanza kufturu napewa cake yangu nikajua mapenzi motomoto baadae anamuita shehe aliyetufungusha nikajua pengine ni maongezi yao ya kawaida sikutilia maanani,after ten mnts naitwa sikushutka nilijua pengine Mumewangu alikuwa na shida nakaa nimsikilize alichoniitia namsikia anamwabia yule shekhe nimekuita nataka uwe shahidi nampa mke wangu talaka, iliandikwa mbele yetu kwanza nilihisi koo limeishiwa mate,Nikamuuliza kulikoni ama kuna kitu nimekukwaza anasema hakuna yule ustaadhi anamuuliza talaka iandikwe na sababu ya kumuacha anasema hakuna sababu,Basi nilichukuwa karatasi yangu nikajikalia eda yangu ilipoisha nikamtimka kwetu.SIKUONA DALILI YA WINGU WALA MANYUNYU
Baba Enock mbona una utani mbaya hivi lakini?Pole .. Kwanini usingesamehe yakaisha? Badala ya kuishia hapo?
Dah!! Aisee pole sana hata sina cha kusemaSio wote ndugu yangu,Mimi siku nilipoachwa na Mume wangu wala sikutegema kwanza nilikuwa nimefunga sunna siku ya Jumatatu Mume karudi na cake ya Love kanikuta najiaandaa kuswali nimemaliza naanza kufturu napewa cake yangu nikajua mapenzi motomoto baadae anamuita shehe aliyetufungusha nikajua pengine ni maongezi yao ya kawaida sikutilia maanani,after ten mnts naitwa sikushutka nilijua pengine Mumewangu alikuwa na shida nakaa nimsikilize alichoniitia namsikia anamwabia yule shekhe nimekuita nataka uwe shahidi nampa mke wangu talaka, iliandikwa mbele yetu kwanza nilihisi koo limeishiwa mate,Nikamuuliza kulikoni ama kuna kitu nimekukwaza anasema hakuna yule ustaadhi anamuuliza talaka iandikwe na sababu ya kumuacha anasema hakuna sababu,Basi nilichukuwa karatasi yangu nikajikalia eda yangu ilipoisha nikamtimka kwetu.SIKUONA DALILI YA WINGU WALA MANYUNYU
Sio wote ndugu yangu,Mimi siku nilipoachwa na Mume wangu wala sikutegema kwanza nilikuwa nimefunga sunna siku ya Jumatatu Mume karudi na cake ya Love kanikuta najiaandaa kuswali nimemaliza naanza kufturu napewa cake yangu nikajua mapenzi motomoto baadae anamuita shehe aliyetufungusha nikajua pengine ni maongezi yao ya kawaida sikutilia maanani,after ten mnts naitwa sikushutka nilijua pengine Mumewangu alikuwa na shida nakaa nimsikilize alichoniitia namsikia anamwabia yule shekhe nimekuita nataka uwe shahidi nampa mke wangu talaka, iliandikwa mbele yetu kwanza nilihisi koo limeishiwa mate,Nikamuuliza kulikoni ama kuna kitu nimekukwaza anasema hakuna yule ustaadhi anamuuliza talaka iandikwe na sababu ya kumuacha anasema hakuna sababu,Basi nilichukuwa karatasi yangu nikajikalia eda yangu ilipoisha nikamtimka kwetu.SIKUONA DALILI YA WINGU WALA MANYUNYU
Sio wote ndugu yangu,Mimi siku nilipoachwa na Mume wangu wala sikutegema kwanza nilikuwa nimefunga sunna siku ya Jumatatu Mume karudi na cake ya Love kanikuta najiaandaa kuswali nimemaliza naanza kufturu napewa cake yangu nikajua mapenzi motomoto baadae anamuita shehe aliyetufungusha nikajua pengine ni maongezi yao ya kawaida sikutilia maanani,after ten mnts naitwa sikushutka nilijua pengine Mumewangu alikuwa na shida nakaa nimsikilize alichoniitia namsikia anamwabia yule shekhe nimekuita nataka uwe shahidi nampa mke wangu talaka, iliandikwa mbele yetu kwanza nilihisi koo limeishiwa mate,Nikamuuliza kulikoni ama kuna kitu nimekukwaza anasema hakuna yule ustaadhi anamuuliza talaka iandikwe na sababu ya kumuacha anasema hakuna sababu,Basi nilichukuwa karatasi yangu nikajikalia eda yangu ilipoisha nikamtimka kwetu.SIKUONA DALILI YA WINGU WALA MANYUNYU
Makubwa jamani...na huyo ustadhi anakubali tu kuandika talaka bila sababu yoyote?Bila kuhoji na kutafuta suluhu?Kweli Mungu anapenda mambo ya kuachana namna hii kwa vile tu umemchoka mwenzio?Tena bila kumwambia sababu unamtwisha mzigo wa kufikiria zaidi ana kasoro gani?Mungu turehemu...Sio wote ndugu yangu,Mimi siku nilipoachwa na Mume wangu wala sikutegema kwanza nilikuwa nimefunga sunna siku ya Jumatatu Mume karudi na cake ya Love kanikuta najiaandaa kuswali nimemaliza naanza kufturu napewa cake yangu nikajua mapenzi motomoto baadae anamuita shehe aliyetufungusha nikajua pengine ni maongezi yao ya kawaida sikutilia maanani,after ten mnts naitwa sikushutka nilijua pengine Mumewangu alikuwa na shida nakaa nimsikilize alichoniitia namsikia anamwabia yule shekhe nimekuita nataka uwe shahidi nampa mke wangu talaka, iliandikwa mbele yetu kwanza nilihisi koo limeishiwa mate,Nikamuuliza kulikoni ama kuna kitu nimekukwaza anasema hakuna yule ustaadhi anamuuliza talaka iandikwe na sababu ya kumuacha anasema hakuna sababu,Basi nilichukuwa karatasi yangu nikajikalia eda yangu ilipoisha nikamtimka kwetu.SIKUONA DALILI YA WINGU WALA MANYUNYU
Sio wote ndugu yangu,Mimi siku nilipoachwa na Mume wangu wala sikutegema kwanza nilikuwa nimefunga sunna siku ya Jumatatu Mume karudi na cake ya Love kanikuta najiaandaa kuswali nimemaliza naanza kufturu napewa cake yangu nikajua mapenzi motomoto baadae anamuita shehe aliyetufungusha nikajua pengine ni maongezi yao ya kawaida sikutilia maanani,after ten mnts naitwa sikushutka nilijua pengine Mumewangu alikuwa na shida nakaa nimsikilize alichoniitia namsikia anamwabia yule shekhe nimekuita nataka uwe shahidi nampa mke wangu talaka, iliandikwa mbele yetu kwanza nilihisi koo limeishiwa mate,Nikamuuliza kulikoni ama kuna kitu nimekukwaza anasema hakuna yule ustaadhi anamuuliza talaka iandikwe na sababu ya kumuacha anasema hakuna sababu,Basi nilichukuwa karatasi yangu nikajikalia eda yangu ilipoisha nikamtimka kwetu.SIKUONA DALILI YA WINGU WALA MANYUNYU
Sio wote ndugu yangu,Mimi siku nilipoachwa na Mume wangu wala sikutegema kwanza nilikuwa nimefunga sunna siku ya Jumatatu Mume karudi na cake ya Love kanikuta najiaandaa kuswali nimemaliza naanza kufturu napewa cake yangu nikajua mapenzi motomoto baadae anamuita shehe aliyetufungusha nikajua pengine ni maongezi yao ya kawaida sikutilia maanani,after ten mnts naitwa sikushutka nilijua pengine Mumewangu alikuwa na shida nakaa nimsikilize alichoniitia namsikia anamwabia yule shekhe nimekuita nataka uwe shahidi nampa mke wangu talaka, iliandikwa mbele yetu kwanza nilihisi koo limeishiwa mate,Nikamuuliza kulikoni ama kuna kitu nimekukwaza anasema hakuna yule ustaadhi anamuuliza talaka iandikwe na sababu ya kumuacha anasema hakuna sababu,Basi nilichukuwa karatasi yangu nikajikalia eda yangu ilipoisha nikamtimka kwetu.SIKUONA DALILI YA WINGU WALA MANYUNYU
Sio wote ndugu yangu,Mimi siku nilipoachwa na Mume wangu wala sikutegema kwanza nilikuwa nimefunga sunna siku ya Jumatatu Mume karudi na cake ya Love kanikuta najiaandaa kuswali nimemaliza naanza kufturu napewa cake yangu nikajua mapenzi motomoto baadae anamuita shehe aliyetufungusha nikajua pengine ni maongezi yao ya kawaida sikutilia maanani,after ten mnts naitwa sikushutka nilijua pengine Mumewangu alikuwa na shida nakaa nimsikilize alichoniitia namsikia anamwabia yule shekhe nimekuita nataka uwe shahidi nampa mke wangu talaka, iliandikwa mbele yetu kwanza nilihisi koo limeishiwa mate,Nikamuuliza kulikoni ama kuna kitu nimekukwaza anasema hakuna yule ustaadhi anamuuliza talaka iandikwe na sababu ya kumuacha anasema hakuna sababu,Basi nilichukuwa karatasi yangu nikajikalia eda yangu ilipoisha nikamtimka kwetu.SIKUONA DALILI YA WINGU WALA MANYUNYU
naomba kuuliza - hivi mume akikupa talaka kwa staili hii - ni lazima ukubali??? suppose unamwambia sheikh mie bado nampenda mume wangu na talaka siitaki inakuwaje??? just wondering................. kwani kuna mambo mengi yanayoendanda na talaka - arrangements za kugawana mali - kama kuna watoto mipangilio yao...........etc. naomba kuelimishwa hapo especially kwa jinsi ilivyotokea kwa Mamkhande.
:help: