Zijuwe dalili za kabla ya kuachwa.

asante kwa hizo dalili 10. mi ntamnyang'anya cmu ili zibaki dalili 6 (i.e 6,7,8 na 9 niczipate)ili nimwache mapema kabla ya yeye kuniacha
 

Pole dear, Mungu atakupa mbadala mwema. mie naona naelekea huko maana vituko dah mtihani!
 
Asante kutujuza dalili10 muhimu,nimeguzwa na no2,8,9.mi aliniambia kazi nyingi,boss mkali,naongea na boss n.k.hakika nilimpenda na kumuamini,live bila chenga nikaachwa Mbele ya mdada mwingine tena kwangu,the worse thing yule dada akatembea na rafiki wa Ex wang ofic 1 na kumdamp ex,AlaMa za NYaKati ni MuHimu,hakika nimekumbuka mbali! Thanx anyway.
 
Mimi nilijulia wp ndg yangu ndio kwanza ilikuwa ndoa yangu ya kwanza na kwakweli sikuwa hata na hamu ya kusema eti Mali ama kitu kingine kwa kipindi kile nilikuwa namuhitaji Muumba wangu zaidi kuliko kitu chochote,nikikukmbuka nilivyokuwa najinyima na kumzuia Mume wangu tusifanye starehe ili tumalize ujenzi wa nyumba tuliyokuwa tunajenga,ndoo za mchanga nilizokuwa nabeba madirisha niliyokuwa nafata mkata kwa ajili ya kupata unafuu wa ujenzi leo nyumba imesimama na kila kitu kimekamilika ndani namalizia nje kwenye garden na bustani za mboga2 UNANIPA TALAKA?Jamani inauma yasikie tu kwa mtu anahadithia dunia yote niliyoona imenigeuka na kuwa shubiri kwangu,nilikuwa kila nikisikia wimbo wa Vumilia kwangu ilikuwa ni kilio,UTANIKUMBA KWA MEMA NILIYOKUFANYIA JAPO HUTAMBUI UMUHIMU WANGU,bora mtu akwambie kosa umuombe msamaha ujirekebishe kama kuna mahali umemkwaza kama binaadamu,lakini hili pigo langu mmmh.Nashukuru Mungu alinipa moyo wa subira na imani nikiamini yote ni maandiko yamepita sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…