Zijuwe koo za Simba

Wengi haya mambo wanayachukulia kiutani.
 
Waulize kwenu, una mizimu ya Kisimba au marafiki za simba. No doubt.

Kuna jambo lipo lkn sio mizimu
Kwanini mnaongelea haya mambo hapa?!
 
Wengi haya mambo wanayachukulia kiutani.
Kaka zangu wawili mmoja tumezaliwa baba mmoja na mwingine ni mtoto wa babangu mdogo wote ni wanajeshi ujerumani tena vyeo vya juu kabisa,kakangu alikuwa ananambia ipo siku nitakuwa mkubwa sana,hata ule ukoo wa rafiki wa babu Hao wajeruman kioo hizi hizi za simb.na nilikabiziwa kucha ya simba ya mguu wa kulia wa mbele ambayo marehemu babu alipewa na babu yake kabla babu hajahamua Tz kutoka Rwanda 1896 Kuja kuwa mwanajeshi wa kijerumani
 
Labda niendelee kufunguka kidogo.

Mwinyi ni koo ya simba. Kikwete koo ya simba. Nyerere ni koo ya simba. Mkapa koo ya simba. Magu ni koo ya simba kwa mama na rafiki wa simba kwa Baba.

Samia ni koo ya simba kwa Baba na mama.
 
Sijaelewa yaani unakuwa ukoo wa simba kutokana na kuzaliwa ile miezi yenye nyota ya simba ama ni vipi?

yaani ni formula gani inatumika kuthibitisha kuwa huyu ni ukoo wa simba?
Ukisoma vizuri utaona kua simba wanajuana kwa harufu na mipaka yao huiweka kwa mikojo.

Simba wa koo hujamiina kuweka mipaka na kuunganisha koo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…