- Thread starter
- #41
Wengi haya mambo wanayachukulia kiutani.Nilikuja kugundua kuwa mimi ni koo hizi unazozielezea miaka10 iliyopita.nilipoenda urambo kwa bibi,mana ilikuwa kila siku jioni saa12 na asubuhi saa12 nimuone simba dume mkubwa sana ikawa kila nikimwambia kakangu ananibishia ikabidi nimweleze bibi mana nilikuwa staki tena kukaa kule ndipo bibi akamwita baba mdogo akanwambia mbele yangu vile ulivyoagizwa ulifanya umeona sasa mtoto anamwona babu yake mara kwa mara ikabidi wanipeleke makaburini na kunipeleka kwenye madame ya babu huko maporini nikashangaa kukuta gorofa kuu kuu,nikafanyiwa matambiko kana yote.bibi akasema hii nyumba alijenga babu yako kipindi anafanya kazi kwenye Jeshi la wajerumani Kabla hawajaondolewa na mwingereza akaendelea bobi akasema hata Jina nalotumia ni la rafiki wa babu alikuwa mjeruman