Zijuwe koo za Simba

Namwona msigwa, Lazaro nyalandu, mbowe, mnyika, makonda, mo deuj, namwona , ni kama wapo SIMBA,,
 
Hutoweza kuziona wala kuzijua, zi[o ki roho (spiritually) zaidi.

Koo za simba wanatembea na simba, simba akikutana nao mwenyewe anatulizana, anakua anaviona usivyoviona wewe.

Simba akikamata mnyama, akitokea mtu wa koo ya simba, simba anakaa pembeni anamwachia kwanza akate yeye nyama aondoke na pande.
 
Namwona msigwa, Lazaro nyalandu, mbowe, mnyika, makonda, mo deuj, namwona , ni kama wapo SIMBA,,
Katika hao mwenye dalili zote za koo ya simba ni Nyalandu. Mbowe na Makonda hawamo kabisa, sema Makoda ana urafiki na koo za simba kiasili.

Mo sijamchunguza sana, lakini ana dalili fulani, sema hazijanikalia swa, au ni koo ya simba iliyoachana na baadhi ya mila na desturi za kisimba mbazo zinaruhusiwa kinidhamu za simba, kwa ajili ya dini.

Siku nikikutana nae uso kwa uso, ndani ya dakika moja tu nitaelewa yupo vipi katika usimba.
 
Mmmh mimi bwana wakati npo sekondari kuna sku nlijikuta tupo chumban mimi na dada angu kbs tamaa iliniingia na yeye akawa yuko kama anataka bt tukawa tunaogopana. Pili nliwahi enda shamba na mke mdogo wa mzee tulikaa wk nzma huko tunalala chumba kimoja naye n kama alikuwa anataka ila mi ndo nlikuwa muoga sa kwa maelezo yako pengne mzee aliamua kunitunuku tunda lake. Tatu mtoto mkubwa wa kike wa mama angu wa kufkia nimemkosakosa mara kadhaa kumla na mpk leo tumeshbana sn sn. Nne mtoto wa pili wa kike wa mama angu wa kufkia ye ndo alikuwaga anasema kbs akimaliza shule anataka tufanye maisha alinielewa sn sn. Tano mimi mtu mwenye ushawishi mkubwa sn, kipawa cha kuongoza na uongozi, akili kubwa ya kujua mambo mengi sn hata kama sjasomea, watu wananiamini sana, watu wananiogopa sana. JE KUNA UWEZEKANO NIKAWA UKOO HUO?
 
Kwanini iwe nyalandu tu? Mbona msigwa familia Yao wameoa Kwa magufuli? Je, kuwa rafiki na Simba kwaweza kufanya ukawa na sifa za Simba?
 
Ulipowataja wanasiasa kibao kua ni koo za simba, halafu ati hizo koo za simba watu wake sio waongo, sijui ujambazi, nk ndio hapo naona unaipalilia koo ya simba kwa kuwahusisha wanasiasa na matajiri wenye ukwasi.

Bandiko lako lina utata na halipo clear kabisa mkuu.
 
Sasa hao wakuu wa koo si wanakua wanandoa? Wanapojamiiana kuunganisha koo zao wanakua wanaziasi ndoa zao[kuchepka]. Umesema Wengi wa viongozi ni wakike je ni nn kinafanyika kwamba huku atoke wa like na kule wakiume ndo amnufaike?
 
Ni mwiko mwanamme au mwanamke kusema kachoka au hataki kujamiiana mpaka iwe ni kweli alijamiiana sana siku hiyo au anaumwa sana. Au mkuu wa koo ndio aamue huyu leo mwacheni apumzike.
Mkuu anafatilia mambo ya ndani kabsa kujua kama wamejamiiana au la?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…