#COVID19 Zikijibiwa hizi hoja, naenda kuchanjwa!

Hata wao chanjo hawana imani nayo! Cheki [emoji117]View attachment 1875067
  1. Sijaona dawa ikivutwa kutoka kwenye chupa
  2. Mchomaji ameshika kwenye sindano yenyewe
  3. Mchomwaji hajaonesha kuhisi maumivu
  4. Kisukumio cha dawa kipo chini ikiashiria syringe haina ujazo stahili wa dawa
  5. Ushikaji wa sindano na usukumaji wa dawa una mashaka
 
Hatuna muda huo wa kukuelimisha, endelea kukata, wenzako majaji tunachanja jumatatu, tena tunapelekwa Zanzibar kuchanja ya mrusi
 
Daktari gani huyo ,anafanyia kazi wapi?
Au unasikiliza porojo za gwajiboy?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hili ndilo Jibu sahihi la hoja yake... Umenishawishi hata mimi
 
sasa kama ni chanjo na unaamini inaweza ikapambana na maambukizi ya corana sasa kwanini niendelee na BARAKOA ??!!

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
... dunia imebadilika ndugu! Wazee wako walikua wana-post Jamii Forum? Leo hii kwenda hapo Dubai, Guangzhou, Comoro, SA, nchi jirani (madereva), n.k. kutafuta maisha au kibiashara ni jambo la kawaida mno kwa yeyote yule! Hiyo simu unayotumia au nguo ulizovaa kuna mtu amezifuata nje ya mipaka! Kuna safari za kidini (hijja), kuna safari za kimatibabu, n.k.
 
sasa kama ni chanjo na unaamini inaweza ikapambana na maambukizi ya corana sasa kwanini niendelee na BARAKOA ??!!

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Kazi kubwa ya chanjo sio kuzuia maambukizi Bali
Inashirikiana na Kinga zako za mwili kupambanaa na maambukizi ya ugonjwa husika pindi uoatapo maambukizi
Pia kwa kipindi hiki ambacho Bado virus vinajibadili mara kwa mara Ni vizuri kuchukua tahadhari hata Kama umechanjwa
 
Chanjo ni HIARI.

Kampeni inaendeshwa na wataalamu kueleza umuhimu mkubwa wa chanjo vs Covid-19 na side effects za chanjo - kwa faida ya wote.

Ni juu ya kila mtu kupima mwenyewe na kuchagua kama ilivyo habari ya mbinguni/peponi au jehanamu. Uchaguzi/uamuzi ni wako.

YOU MAKE THE CHOICE; YOU FACE THE CONSEQUENCES.

Hakuna haja ya kupigiana kelele.
 
Una faida gani kwa hili taifa hata usipochanjwa?
Na ndio sababu anauliza mbona inatumika nguvu kubwa kuinadi, hadi jeshi la polisi kuahidi kuwakamata watakao ipinga?
 
Nani akujibu? Unapotumia kondomu - kinga dhidi ya STDs na UKIMWI - huwa unahitaji kushawishiwa?
 
Hii issue ngumu Sana , kuna agenda ya Siri kwenye hzi mambo, anyway kila mmoja na akili yake kichwani!!! Badae wataifanya kuwa lazima Tu indirect
Ajenda Ni moja tu... Majaribio.
 
Kabla ya kuchanjwa unasainishwa form ambayo inasisitiza kuwa serikali haitawajibika na madhara yoyote yatakayotokea baada ya chanjo,form inanifanya niseme kuwa nitakuwa raia wa mwisho kuchanjwa katika dunia hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…