Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Tangu lini serikali ikawajibika kwa matibabu au chanjo ulishawahi kufika hospital yoyote serikali ikasaini matibabu yako ,na wasi wasi na watu wenye akili Kama za kwakoKabla ya kuchanjwa unasainishwa form ambayo inasisitiza kuwa serikali haitawajibika na madhara yoyote yatakayotokea baada ya chanjo,form inanifanya niseme kuwa nitakuwa raia wa mwisho kuchanjwa katika dunia hii.
Hapa kilichobaki ni kuchanja mbuga tu🏃🏿♂️🏃🏿♂️Hata wao chanjo hawana imani nayo! Cheki [emoji117]View attachment 1875067
Mbona naona kama Mama samia alichomwa na bomba lisilo na sindano🙋🏽♂️Hata wao chanjo hawana imani nayo! Cheki [emoji117]View attachment 1875067
Yaaani akili yako ndio ina mavi kabisaa. Kila kitu chademaChadema mna kinyesi kichwani
Sasa Nani kakufuata ukachanjwe,au unaropoka tuh uwonekane
We ukichapa shuhuli zako za kukuongezea pato Nani anakufuata ukachanje Kama hutaki
Chanjo zenyewe chache
- Sijaona dawa ikivutwa kutoka kwenye chupa
- Mchomaji ameshika kwenye sindano yenyewe
- Mchomwaji hajaonesha kuhisi maumivu
- Kisukumio cha dawa kipo chini ikiashiria syringe haina ujazo stahili wa dawa
- Ushikaji wa sindano na usukumaji wa dawa una mashaka
Mbona naona jibu lake ni rahisi tu na ni hili: kama unahitaji nenda kachanjwe na kama huhitaji achana nayo (lakini hakikisha unachukua tahadhari zote usiambukize watu wengine au hata ikiwezekana usipate Covid-19).Kama chanjo ni hiyari kwanini inatumika nguvu kubwa kuwaswaga watu wapatiwe chanjo.
Katika uhuru wa kutoa maoni kwenye chanjo kwanini uhuru unaotakiwa ni wa kukubali chanjo lakini wa kupingana na chanjo unaonekana sio uhuru bali ni uchonganishi.?
Kwanini serikali ikatae kuwajibika kwa chanjo inayoinadi kuwa ni salama kwa asilimia zaidi ya 99?
Nikishachanjwa nitapatwa na nini kuzito ambacho serikali kama mlezi wa raia hataki kuwajibika nacho?
Mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake.
Nawakaribisha wote hasahasa wanaopigia debe chanjo wakiongozwa na Mshana Jr
Asante sana KikulachoChako kwa hoja hizi.
Wasipo zi promo..mabwana zao mabeberu hawata wapa hela..mana tayari wamekula 10% ili kuzileta..pia zitawadodea hivyo mpango uliopo zijanjwe zote ili ziishe waagize mzigo mwingine kwa ma bwana zao.Kama chanjo ni hiari, punguzeni promo sasa. Kwani kuna mtu hajui thamani ya uhai?
Umepuyanga kwenye mambo ya imani bora unge kaa kimya tu..pompoma wewe.ninavyofahamu na kama una swali niulize nitakujibu kadri ninavyofahamu,
Kwanini Chanjo ya COVID 19 inapigiwa chapuo sana Licha ya kwamba ni hiyari?
- Hii ni kwasababu dunia nzima ipo katika mpango na juhudi za kutokomeza kabisa ugonjwa huu, ndio maana chanjo inasisitizwa sana kwasababu bila watu wote kuchomwa chanjo itakua ni ngumu sana ugonjwa huu kuisha,
Kwanini wanaochoma chanjo wanaendelea kuvaa barakoa? Je nikipata chanjo naweza kuambukizwa na kuambukiza?
- Wanaopata chanjo wanashauriwa kuvaa barakoa kwani wanauwezekano pia wa kupata maambukizi ya korona, iko hivi,
Chanjo Ya korona inapoingia mwilini mwako inaboost immunity, yaani inauongezea kinga mwili wako, kinga hii inayoongezwa inauwezo mkubwa wa kupambana na UVIKO, maana yake wewe uliepata chanjo tayari utakua na kinga utakapopata maambukizi ya UVIKO mwili wako utaweza kupambana na virusi hivyo na hatimaye kutoweka maana tayari una kinga ya kujilinda,
Kwanini baaadhi ya chanjo inatakiwa uchomwe zaidi ya mara moja?
Ni kawaida sana baadhi ya chanjo kuchomwa zaidi ya mara moja ili kuimarisha zaidi kinga mwili, mfano kuna chanjo za Tetanus Taxoid (chanjo ya tetenasi) hii huchomwa mara tatu kwa mwanaume na mara tano kwa wanawake pia zipo chanjo nyingine za watoto ambazo huchomwa zaidi ya mara moja,
pia katika chanjo za korona zipo baadhi ambazo unachomwa zaidi ya mara moja na nyingine ni mara moja tu kama Johnson Johnson
Kwanini baadhi ya mataifa ya magharibi licha ya chanjo ila uginjwa bado upo na watu wanakufa kwa covid?
Ni kwel hata baadhi ya mataifa ambayo chanjo imetengenezwa huko bado wanaugonjwa na watu wanakufa lakini kiuhalisia sio kwa idadi ile kama ya mwanzo,
mfano mzuri anagalia China ambako ugonjwa umeanzia, kule sasahivi wanaelekea kusahau mambo ya Corona kwasababu zaidi ya 90% wamepata chanjo,
Angalia ulaya sasahivi hata watu wameanza kufunguliwa angalia michuano ya Euro watu waliruhusiwa kuingia uwanjani na ugonjwa ulienea lakini sasahivi upo very week kwasababu watu wameshapata chanjo,
Angalia nchi ya Italy kipindi cha COVID walikufa sana kwa siku walikua wanakufa zaidi ya watu elfu 6, lakini kwa sasa idadi ya vifo haipo kwasababu wengi wameishapata chanjo hivyo virusi vya korona vimedhoofishwa sana havina nguvu tena,
Kwanini Chanjo ya COVID imechukua mda mfupi sana? je tutaaminije kama haitaleta madhara baadaye?
hakuna muda malumu uliowekwa wa chanjo kutengenezwa, hata hiyo chanjo ya kifua kikuu ambayo wewe umezaliwa ukaikuta, pia kipindi inatengenezwa wapo watu waliokua wa kwanza kuitumia na haijawadhuru,
rejea ugonjwa wa Ebora ulilipika Congo, Siera lion, na equatorial Guinea, ugonjwa ule ulilipuka ghafla na utengenezaji wa chanjo yake haukuchukua muda mrwfu na chanjo ilionyesha ufanisi mkubwa mpaka leo hii ebora imebaki kuwa historia,
Je chanjo ya Covin ndiyo Alam ya 666?
hayo mambo yamekaa kiimani zaidi na sio kisayansi na kusema kwamba chanjo ni chapa ya 666 ni sababu zisizo na mashiko kwani hata kwenye maandishi chapa ya mnyama hadi itokee tayari dunia itakua imeshapitia kipindi cha kuabudu siku moja na kuwa na serikali moja pia chapa ya mnyama itakua inahusisha moja kwa moja mpinga kristo,
Je, Wazungungu wanataka kutuua kupitia chanjo?
wakuue kwa lipi, wangetaka kukuua wasinheruhusu nchi mbalimbali zitengeneze chanjo chanjo ingekua ni moja dunia nzima, lakini mpaka sasa nchi nyingi zimetengeneza chanjo ikiwemo Africa kusini china na india kama mpango ungekua ni kuuwa watu basi ingetumika chanjo moja dunia nzima,
lakini vilevile ieleweke kwamba Mzungu akiamua kukuua, hauna ujanja wa kukwepa
Kwanini kwenye fomu ya chanjo, serikali ilijitoabkuwajibika kwa lolote litakalotokea?
- chanjo kazi yake ni kuboost immunity ili mwili wako uwe na uwezo wa kupambana na Covid pale unapoipata,
sasa basi kipaumbele cha kwanza ni wenye magonjwa sugu, na wenye magonjwa sugu wengi immunity zao ziko chini sana so serikali ikisema iwalipe
ikitokea mtu yytr amepiga chanjo na akafa hata kwa ugonjwa mwingine watadai fidia,
means mimi niwe na Chronic heart diseases nikaamua kuchoma chanjo, mwezi mmoja ukipita nikafa kwa ugonjwa wa moyo au mwingine wwte ule lazima ndugu waidai serikali fidia,
sasa serikali italipa wangapi?
maana hapa ingesema ihusike watu wangeenda kuiangushia serikali jumba bovu, mtu anakufa kwa TB ila kwakua alipiga vaccine ya covvid atataka alipwe
Kajitu Kako tandahimba ndani ndani huko kanalima magimbi eti tuka convince kakachanjwe. Shwaini kabisa.Kama chanjo ni hiyari kwanini inatumika nguvu kubwa kuwaswaga watu wapatiwe chanjo.
Katika uhuru wa kutoa maoni kwenye chanjo kwanini uhuru unaotakiwa ni wa kukubali chanjo lakini wa kupingana na chanjo unaonekana sio uhuru bali ni uchonganishi.?
Kwanini serikali ikatae kuwajibika kwa chanjo inayoinadi kuwa ni salama kwa asilimia zaidi ya 99?
Nikishachanjwa nitapatwa na nini kuzito ambacho serikali kama mlezi wa raia hataki kuwajibika nacho?
Mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake.
Nawakaribisha wote hasahasa wanaopigia debe chanjo wakiongozwa na Mshana Jr
Asante sana KikulachoChako kwa hoja hizi.
Most of vaccine injection ni automatic injection. Sio lazima ukandamize na Kidole.Hata wao chanjo
Hata wao chanjo hawana imani nayo! Cheki [emoji117]View attachment 1875067
Kama unajitambua toka hadharani utoe tamko siyo unabwabwaja nyuma ya keyboard. Uchanje usichanje who cares?! Mtu moja hajawahi kuwa hasara kwa taifa hata ukifa leo.Rudisha hizo hela, achanjwi mtu hapa....kashawishi wajinga wenzako.
Najitambua. Kufa nitakufa tu hata kwa corona.
Ahsante kwa maelezo ila inakuwaje viongozi wetu wanapokea chanjo airport halafu anasema tumejulidhisha hii chanjo haina madhara najiuliza walijiridhisha lini na kwa maabara ipi, kama mtu aliyekufa kwa sumu inawachukua siku/masaa kujua sumu ilimuua inakuaje kiongozi harakahara akwambie hii chanjo ni salama.ninavyofahamu na kama una swali niulize nitakujibu kadri ninavyofahamu,
Kwanini Chanjo ya COVID 19 inapigiwa chapuo sana Licha ya kwamba ni hiyari?
- Hii ni kwasababu dunia nzima ipo katika mpango na juhudi za kutokomeza kabisa ugonjwa huu, ndio maana chanjo inasisitizwa sana kwasababu bila watu wote kuchomwa chanjo itakua ni ngumu sana ugonjwa huu kuisha,
Kwanini wanaochoma chanjo wanaendelea kuvaa barakoa? Je nikipata chanjo naweza kuambukizwa na kuambukiza?
- Wanaopata chanjo wanashauriwa kuvaa barakoa kwani wanauwezekano pia wa kupata maambukizi ya korona, iko hivi,
Chanjo Ya korona inapoingia mwilini mwako inaboost immunity, yaani inauongezea kinga mwili wako, kinga hii inayoongezwa inauwezo mkubwa wa kupambana na UVIKO, maana yake wewe uliepata chanjo tayari utakua na kinga utakapopata maambukizi ya UVIKO mwili wako utaweza kupambana na virusi hivyo na hatimaye kutoweka maana tayari una kinga ya kujilinda,
Kwanini baaadhi ya chanjo inatakiwa uchomwe zaidi ya mara moja?
Ni kawaida sana baadhi ya chanjo kuchomwa zaidi ya mara moja ili kuimarisha zaidi kinga mwili, mfano kuna chanjo za Tetanus Taxoid (chanjo ya tetenasi) hii huchomwa mara tatu kwa mwanaume na mara tano kwa wanawake pia zipo chanjo nyingine za watoto ambazo huchomwa zaidi ya mara moja,
pia katika chanjo za korona zipo baadhi ambazo unachomwa zaidi ya mara moja na nyingine ni mara moja tu kama Johnson Johnson
Kwanini baadhi ya mataifa ya magharibi licha ya chanjo ila uginjwa bado upo na watu wanakufa kwa covid?
Ni kwel hata baadhi ya mataifa ambayo chanjo imetengenezwa huko bado wanaugonjwa na watu wanakufa lakini kiuhalisia sio kwa idadi ile kama ya mwanzo,
mfano mzuri anagalia China ambako ugonjwa umeanzia, kule sasahivi wanaelekea kusahau mambo ya Corona kwasababu zaidi ya 90% wamepata chanjo,
Angalia ulaya sasahivi hata watu wameanza kufunguliwa angalia michuano ya Euro watu waliruhusiwa kuingia uwanjani na ugonjwa ulienea lakini sasahivi upo very week kwasababu watu wameshapata chanjo,
Angalia nchi ya Italy kipindi cha COVID walikufa sana kwa siku walikua wanakufa zaidi ya watu elfu 6, lakini kwa sasa idadi ya vifo haipo kwasababu wengi wameishapata chanjo hivyo virusi vya korona vimedhoofishwa sana havina nguvu tena,
Kwanini Chanjo ya COVID imechukua mda mfupi sana? je tutaaminije kama haitaleta madhara baadaye?
hakuna muda malumu uliowekwa wa chanjo kutengenezwa, hata hiyo chanjo ya kifua kikuu ambayo wewe umezaliwa ukaikuta, pia kipindi inatengenezwa wapo watu waliokua wa kwanza kuitumia na haijawadhuru,
rejea ugonjwa wa Ebora ulilipika Congo, Siera lion, na equatorial Guinea, ugonjwa ule ulilipuka ghafla na utengenezaji wa chanjo yake haukuchukua muda mrwfu na chanjo ilionyesha ufanisi mkubwa mpaka leo hii ebora imebaki kuwa historia,
Je chanjo ya Covin ndiyo Alam ya 666?
hayo mambo yamekaa kiimani zaidi na sio kisayansi na kusema kwamba chanjo ni chapa ya 666 ni sababu zisizo na mashiko kwani hata kwenye maandishi chapa ya mnyama hadi itokee tayari dunia itakua imeshapitia kipindi cha kuabudu siku moja na kuwa na serikali moja pia chapa ya mnyama itakua inahusisha moja kwa moja mpinga kristo,
Je, Wazungungu wanataka kutuua kupitia chanjo?
wakuue kwa lipi, wangetaka kukuua wasinheruhusu nchi mbalimbali zitengeneze chanjo chanjo ingekua ni moja dunia nzima, lakini mpaka sasa nchi nyingi zimetengeneza chanjo ikiwemo Africa kusini china na india kama mpango ungekua ni kuuwa watu basi ingetumika chanjo moja dunia nzima,
lakini vilevile ieleweke kwamba Mzungu akiamua kukuua, hauna ujanja wa kukwepa
Kwanini kwenye fomu ya chanjo, serikali ilijitoabkuwajibika kwa lolote litakalotokea?
- chanjo kazi yake ni kuboost immunity ili mwili wako uwe na uwezo wa kupambana na Covid pale unapoipata,
sasa basi kipaumbele cha kwanza ni wenye magonjwa sugu, na wenye magonjwa sugu wengi immunity zao ziko chini sana so serikali ikisema iwalipe
ikitokea mtu yytr amepiga chanjo na akafa hata kwa ugonjwa mwingine watadai fidia,
means mimi niwe na Chronic heart diseases nikaamua kuchoma chanjo, mwezi mmoja ukipita nikafa kwa ugonjwa wa moyo au mwingine wwte ule lazima ndugu waidai serikali fidia,
sasa serikali italipa wangapi?
maana hapa ingesema ihusike watu wangeenda kuiangushia serikali jumba bovu, mtu anakufa kwa TB ila kwakua alipiga vaccine ya covvid atataka alipwe
Kwani kwenye matumizi ya net na condom unasaini kabla hujaanza kutumia, hoja maandazi hii.We wala usichanjwe kaa tu.
1. Matumizi ya condom na net ni hiyari sio lazima lakini umewahi kuhoji nguvu kubwa inayotumika kutaka watu watumie? Unajua ni mamilioni mangapi ya shilingi yanatumika kujenga uelewa wa watu kutumia condom? Unadhani kwanini kama sio kutaka kulinda watu wagumu kama wewe
2. Umewahi kuwa na ndugu yako wa karibu anaingia kufanyiwa upasuaji hospitali ukatakiwa kusaini form ya kujitwisha mzigo na si hospitali, Dokta wala serekali? Kwanini unashangaa kwenye chanjo ya korona.
We wala usichanjwe kaa tu.
1. Matumizi ya condom na net ni hiyari sio lazima lakini umewahi kuhoji nguvu kubwa inayotumika kutaka watu watumie? Unajua ni mamilioni mangapi ya shilingi yanatumika kujenga uelewa wa watu kutumia condom? Unadhani kwanini kama sio kutaka kulinda watu wagumu kama wewe
2. Umewahi kuwa na ndugu yako wa karibu anaingia kufanyiwa upasuaji hospitali ukatakiwa kusaini form ya kujitwisha mzigo na si hospitali, Dokta wala serekali? Kwanini unashangaa kwenye chanjo ya korona.
Mkuu umeongea kitaalam sana. Hongerah.ninavyofahamu na kama una swali niulize nitakujibu kadri ninavyofahamu,
Kwanini Chanjo ya COVID 19 inapigiwa chapuo sana Licha ya kwamba ni hiyari?
- Hii ni kwasababu dunia nzima ipo katika mpango na juhudi za kutokomeza kabisa ugonjwa huu, ndio maana chanjo inasisitizwa sana kwasababu bila watu wote kuchomwa chanjo itakua ni ngumu sana ugonjwa huu kuisha,
Kwanini wanaochoma chanjo wanaendelea kuvaa barakoa? Je nikipata chanjo naweza kuambukizwa na kuambukiza?
- Wanaopata chanjo wanashauriwa kuvaa barakoa kwani wanauwezekano pia wa kupata maambukizi ya korona, iko hivi,
Chanjo Ya korona inapoingia mwilini mwako inaboost immunity, yaani inauongezea kinga mwili wako, kinga hii inayoongezwa inauwezo mkubwa wa kupambana na UVIKO, maana yake wewe uliepata chanjo tayari utakua na kinga utakapopata maambukizi ya UVIKO mwili wako utaweza kupambana na virusi hivyo na hatimaye kutoweka maana tayari una kinga ya kujilinda,
Kwanini baaadhi ya chanjo inatakiwa uchomwe zaidi ya mara moja?
Ni kawaida sana baadhi ya chanjo kuchomwa zaidi ya mara moja ili kuimarisha zaidi kinga mwili, mfano kuna chanjo za Tetanus Taxoid (chanjo ya tetenasi) hii huchomwa mara tatu kwa mwanaume na mara tano kwa wanawake pia zipo chanjo nyingine za watoto ambazo huchomwa zaidi ya mara moja,
pia katika chanjo za korona zipo baadhi ambazo unachomwa zaidi ya mara moja na nyingine ni mara moja tu kama Johnson Johnson
Kwanini baadhi ya mataifa ya magharibi licha ya chanjo ila uginjwa bado upo na watu wanakufa kwa covid?
Ni kwel hata baadhi ya mataifa ambayo chanjo imetengenezwa huko bado wanaugonjwa na watu wanakufa lakini kiuhalisia sio kwa idadi ile kama ya mwanzo,
mfano mzuri anagalia China ambako ugonjwa umeanzia, kule sasahivi wanaelekea kusahau mambo ya Corona kwasababu zaidi ya 90% wamepata chanjo,
Angalia ulaya sasahivi hata watu wameanza kufunguliwa angalia michuano ya Euro watu waliruhusiwa kuingia uwanjani na ugonjwa ulienea lakini sasahivi upo very week kwasababu watu wameshapata chanjo,
Angalia nchi ya Italy kipindi cha COVID walikufa sana kwa siku walikua wanakufa zaidi ya watu elfu 6, lakini kwa sasa idadi ya vifo haipo kwasababu wengi wameishapata chanjo hivyo virusi vya korona vimedhoofishwa sana havina nguvu tena,
Kwanini Chanjo ya COVID imechukua mda mfupi sana? je tutaaminije kama haitaleta madhara baadaye?
hakuna muda malumu uliowekwa wa chanjo kutengenezwa, hata hiyo chanjo ya kifua kikuu ambayo wewe umezaliwa ukaikuta, pia kipindi inatengenezwa wapo watu waliokua wa kwanza kuitumia na haijawadhuru,
rejea ugonjwa wa Ebora ulilipika Congo, Siera lion, na equatorial Guinea, ugonjwa ule ulilipuka ghafla na utengenezaji wa chanjo yake haukuchukua muda mrwfu na chanjo ilionyesha ufanisi mkubwa mpaka leo hii ebora imebaki kuwa historia,
Je chanjo ya Covin ndiyo Alam ya 666?
hayo mambo yamekaa kiimani zaidi na sio kisayansi na kusema kwamba chanjo ni chapa ya 666 ni sababu zisizo na mashiko kwani hata kwenye maandishi chapa ya mnyama hadi itokee tayari dunia itakua imeshapitia kipindi cha kuabudu siku moja na kuwa na serikali moja pia chapa ya mnyama itakua inahusisha moja kwa moja mpinga kristo,
Je, Wazungungu wanataka kutuua kupitia chanjo?
wakuue kwa lipi, wangetaka kukuua wasinheruhusu nchi mbalimbali zitengeneze chanjo chanjo ingekua ni moja dunia nzima, lakini mpaka sasa nchi nyingi zimetengeneza chanjo ikiwemo Africa kusini china na india kama mpango ungekua ni kuuwa watu basi ingetumika chanjo moja dunia nzima,
lakini vilevile ieleweke kwamba Mzungu akiamua kukuua, hauna ujanja wa kukwepa
Kwanini kwenye fomu ya chanjo, serikali ilijitoabkuwajibika kwa lolote litakalotokea?
- chanjo kazi yake ni kuboost immunity ili mwili wako uwe na uwezo wa kupambana na Covid pale unapoipata,
sasa basi kipaumbele cha kwanza ni wenye magonjwa sugu, na wenye magonjwa sugu wengi immunity zao ziko chini sana so serikali ikisema iwalipe
ikitokea mtu yytr amepiga chanjo na akafa hata kwa ugonjwa mwingine watadai fidia,
means mimi niwe na Chronic heart diseases nikaamua kuchoma chanjo, mwezi mmoja ukipita nikafa kwa ugonjwa wa moyo au mwingine wwte ule lazima ndugu waidai serikali fidia,
sasa serikali italipa wangapi?
maana hapa ingesema ihusike watu wangeenda kuiangushia serikali jumba bovu, mtu anakufa kwa TB ila kwakua alipiga vaccine ya covvid atataka alipwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
- Sijaona dawa ikivutwa kutoka kwenye chupa
- Mchomaji ameshika kwenye sindano yenyewe
- Mchomwaji hajaonesha kuhisi maumivu
- Kisukumio cha dawa kipo chini ikiashiria syringe haina ujazo stahili wa dawa
- Ushikaji wa sindano na usukumaji wa dawa una mashaka
Hebu kwa hiyo hiyo mifano yako ya mbu na NET; kuna sehemu yeyote huaga tunajazishwa form ya kutumia ndomu? Sina maana kwamba napinga chanjo but tetea vizuri hoja yako; kwa hi mifano bado hujakata kiu ya wapinzania wa chanjoWe wala usichanjwe kaa tu.
1. Matumizi ya condom na net ni hiyari sio lazima lakini umewahi kuhoji nguvu kubwa inayotumika kutaka watu watumie? Unajua ni mamilioni mangapi ya shilingi yanatumika kujenga uelewa wa watu kutumia condom? Unadhani kwanini kama sio kutaka kulinda watu wagumu kama wewe
2. Umewahi kuwa na ndugu yako wa karibu anaingia kufanyiwa upasuaji hospitali ukatakiwa kusaini form ya kujitwisha mzigo na si hospitali, Dokta wala serekali? Kwanini unashangaa kwenye chanjo ya korona.