Ziko Dar Es Salaam, Tanzania.nauliza mahali hz ofisi zilipo,nisaidieni.
hahahahaha itakua anaenda kuomba u "mod"Unaenda fungua akaunti nn
MakumbushoMikocheni warioba
Mbona wewe umejibuKutoka mwenge mpaka morroco katikati hapo zinapatikana Subiri majibu ya wanaojua
Asije akaenda kutulipulia ofisi yetu.mwombe moderator pm