Tarehe 16.06.2023 zilisainiwa barabara 8 zaidi ya Km 2200 nchi nzima, ila mpaka leo hii hakuna ht moja iliyoanza kujengwa.
Ile ilikuwa ghilba? Walikuwa wanamdanganya nani, kwa faida ya nani. Tunaona Rais yuko bize na Kizimkazi, ni Rais yupi anafuatilia utekelezaji wa ujenzi wa ile mikataba?
Hakuna anayeizungumzia ht moja ktk viongozi wakuu wa nchi hii. 2025 hawa watu wote wapumzishwe tuanze upya
Ile ilikuwa ghilba? Walikuwa wanamdanganya nani, kwa faida ya nani. Tunaona Rais yuko bize na Kizimkazi, ni Rais yupi anafuatilia utekelezaji wa ujenzi wa ile mikataba?
Hakuna anayeizungumzia ht moja ktk viongozi wakuu wa nchi hii. 2025 hawa watu wote wapumzishwe tuanze upya