Zile bilioni 20 zipo wapi?

Hivi wewe kima unajielewa kweli? Uliambiwa ile 20B inanunua bonds BOT halafu kinachopatikana kutokana na bonds ndio kinatumika simba, ile kambi misri ulilipia wewe?
Hv misri mlienda kufanya nini, si Bora mngeweka Kambi pale Bunju tu
 
Hatuwezi kukubali kabisa jamaa kanjanja sana tunaumia sisi mashabiki wanadhani tunafurahi kuitwa kolo
 
Kwahio ulisubiri mpaka mfungwe na Yanga ndio uulize ziko wapi. Kipindi Kigwangalla anauliza mlikuwa mnamtukana na kusema Mo aweke hata kichwa chake kwenye logo AF leo hii akili mmetoa wapi. Wahed kabisa
 
Kwahio ulisubiri mpaka mfungwe na Yanga ndio uulize ziko wapi. Kipindi Kigwangalla anauliza mlikuwa mnamtukana na kusema Mo aweke hata kichwa chake kwenye logo AF leo hii akili mmetoa wapi. Wahed kabisa
Sasa ndio utuite sisi mambumbumbu? Mimi ni mmoja wa eatu tuliomsapoti sana kigwa kwenye hili sema tatizo wengi wetu ni mambumbumbu hawakuliona hili
 
wanajua Sasa
Wao wanaoona timu inasajili inalipa mishahara,inakwenda kambi n.k
Lakini hawajui hizo hela zinatoka wapi
Billion 20 ni ndogo sana.kwenye matumizi ya mpira
Bilioni 20 ni 49%. Kwanini huulizi 51% iko wapi?
 
Jamaa alikua na Nia njema lakini baada ya kuona mikwara mbuzi ya kina ngwala akaona ya nini ?
 
ANGEWEKA B20 ZEU YANGA ASINGETUFUNGA NA KUCHUKUA VIKOMBE VI3, INAUMA SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…