MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Simba One team one dream
Hii nchi ni ngumu sana kwa upande wa pili ila kwetu raha kama zote ndio maana tukipiga chafya wanatuambia tuna korona
Kuna hoja mfu sana na dhaifu yaani aibu hata kuongelea ila hawa ndugu zetu wamekazia shingo kama ndio wakiziona watapata ubingwa
Wana swali lao eti Bilioni ishirini zimewekwa wapi
Sasa naomba niwajibu kwa maswali.
Je hizo bilioni 20 zikiwekwa hazitumiki au zitatumika.
kama hazitumiki zinawekwa ili iweje ?
Kama zinatumika nataka niwaulize.
Je mishahara ya wachezaji inatoka kwenye hiyo hela au wapi?
Hela ya usajiri inatoka wapi?
Hela ya kambi inatoka wapi?
Hela ya maandalizi ya timu inatoka wapi?
Msije mkasema gate collection maana haijawahi kutosha hao wadhamini sport pesa kutoa milioni 100 kwa msimu unanunulia machungwa tu wachezaji kwa wiki moja
Ndio hapo nikagundua tatizo la uto na misukule ni Tajiri Mo
Mo tangu alipokabidhiwa timu kuna watu wamechukua bonanza la mapinduzi tu
Kawapora furaha yao
wamekuwa wanafuraha mwanzo wa msimu na kujipa matumaini ya kesho iliyo njema kwao
Sasa sisi tunasema kama hatukuuliza hela za kumnunua Miquissone ilitoka wapi naomba na hela ya kumuuza miq isiulizwe imeenda wapi as long as timu inaenda vyema
Mo hapo hapo mpaka huo mwiko nyuma tuutoe ndo tutawafikiria
Tukutane kwa mkapa 19 September
Hii nchi ni ngumu sana kwa upande wa pili ila kwetu raha kama zote ndio maana tukipiga chafya wanatuambia tuna korona
Kuna hoja mfu sana na dhaifu yaani aibu hata kuongelea ila hawa ndugu zetu wamekazia shingo kama ndio wakiziona watapata ubingwa
Wana swali lao eti Bilioni ishirini zimewekwa wapi
Sasa naomba niwajibu kwa maswali.
Je hizo bilioni 20 zikiwekwa hazitumiki au zitatumika.
kama hazitumiki zinawekwa ili iweje ?
Kama zinatumika nataka niwaulize.
Je mishahara ya wachezaji inatoka kwenye hiyo hela au wapi?
Hela ya usajiri inatoka wapi?
Hela ya kambi inatoka wapi?
Hela ya maandalizi ya timu inatoka wapi?
Msije mkasema gate collection maana haijawahi kutosha hao wadhamini sport pesa kutoa milioni 100 kwa msimu unanunulia machungwa tu wachezaji kwa wiki moja
Ndio hapo nikagundua tatizo la uto na misukule ni Tajiri Mo
Mo tangu alipokabidhiwa timu kuna watu wamechukua bonanza la mapinduzi tu
Kawapora furaha yao
wamekuwa wanafuraha mwanzo wa msimu na kujipa matumaini ya kesho iliyo njema kwao
Sasa sisi tunasema kama hatukuuliza hela za kumnunua Miquissone ilitoka wapi naomba na hela ya kumuuza miq isiulizwe imeenda wapi as long as timu inaenda vyema
Mo hapo hapo mpaka huo mwiko nyuma tuutoe ndo tutawafikiria
Tukutane kwa mkapa 19 September