Zile juice za dukani tunazoambiwa zinaongeza damu ni kweli zinafanya kazi hiyo?

Zile juice za dukani tunazoambiwa zinaongeza damu ni kweli zinafanya kazi hiyo?

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Wakuu,

Nimani ulishawahi kusikia au kuambiwa kama una upungufu wa damu kunywa anjali, au kunywa chemicola inaoza damu fasta, au kuambiwa usinywe sana juice hizo kwani damu itakuwa nyingi sana.

Hii ni kweli?

anjari.png
chemicola.jpg
 
Back
Top Bottom