Zanzibar 2020 Zile Kamati za Amani na Maadili, na Viongozi wa Dini hawaoni yanayoendelea Zanzibar?

Zanzibar 2020 Zile Kamati za Amani na Maadili, na Viongozi wa Dini hawaoni yanayoendelea Zanzibar?

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Kipindi cha uchaguzi kulijitokeza kamati zilizohusisha viongozi wa dini mbalimbali kuombea uchaguzi ufanyike kwa amani, kuna kamati nyingine ilikuwa inajiita Kamati ya Maadili ya Taifa kazi yake kubwa ilikuwa kutoa adhabu kwa wagombea wa Vyama vya Upinzani.

Hizi kamati mbona hatuzioni wakati huu ambapo kuna uvunjifu mkubwa wa amani unafanyika huko Zanzibar? Viongozi wa dini wako wapi au wanaouawa Zanzibar sio wafuasi wenu.

Hatujasikia hata tamko tu la kulaani yanayoendelea Zanzibar. Je, tuseme lengo lao kuu wakati wa Uchaguzi lilikuwa nini? Kukaa kwenu kimya ni kudhihirisha mko upande wa watesi?
 
Wanafiki tu hao,viongozi wa dini wanaona raia wanauliwa wao wamekaa kimya
 
Hahaha wale walikuwa vibaraka wa shetani.

Wote wana kadi za ccm mifukoni, wanawezaje kuongelea Amani?!

Amani gani wanayoongelea wendawazimu wale?!
 
Kipindi cha uchaguzi kulijitokeza kamati zilizohusisha viongozi wa dini mbalimbali kuombea uchaguzi ufanyike kwa amani, kuna kamati nyingine ilikuwa inajiita Kamati ya Maadili ya Taifa kazi yake kubwa ilikuwa kutoa adhabu kwa wagombea wa Vyama vya Upinzani.

Hizi kamati mbona hatuzioni wakati huu ambapo kuna uvunjifu mkubwa wa amani unafanyika huko Zanzibar? Viongozi wa dini wako wapi au wanaouawa Zanzibar sio wafuasi wenu.

Hatujasikia hata tamko tu la kulaani yanayoendelea Zanzibar. Je, tuseme lengo lao kuu wakati wa uchaguzi lilikuwa nini? Kukaa kwenu kimya ni kudhihirisha mko upande wa watesi?
Walishiriki kupanga hata yanayotokea hivyo hawawezi kugeuka watamsaliti mungu.
 
Ningumu kuona na hata wakiona ningumu kukemea tuna communications lockdown
 
Shekhe ubwabwa wa mkoa wa DSM na askofu nani nani yule pamoja na mzee wa upako. Hawa ndiyo unategemea waseme nini?
 
Kipindi cha uchaguzi kulijitokeza kamati zilizohusisha viongozi wa dini mbalimbali kuombea uchaguzi ufanyike kwa amani, kuna kamati nyingine ilikuwa inajiita Kamati ya Maadili ya Taifa kazi yake kubwa ilikuwa kutoa adhabu kwa wagombea wa Vyama vya Upinzani.

Hizi kamati mbona hatuzioni wakati huu ambapo kuna uvunjifu mkubwa wa amani unafanyika huko Zanzibar? Viongozi wa dini wako wapi au wanaouawa Zanzibar sio wafuasi wenu.

Hatujasikia hata tamko tu la kulaani yanayoendelea Zanzibar. Je, tuseme lengo lao kuu wakati wa uchaguzi lilikuwa nini? Kukaa kwenu kimya ni kudhihirisha mko upande wa watesi?
Wadhani hapo kuna viongozi wa dini Mkuu? Jiulize ikiwa mwenyekiti wao alikuwa akichambana na Mange mpaka akaanikika vilivyo wanawezaje kuaminika kuwa si wachumia matumbo yao?
 
Nini kinaendelea Zanzibar? Weka link, picha, video au uthibitisho wowote ule
 
CDM fanatics ni wajinga sana, Maalim na team yake ya ACT Zanzibar walitaka kujaribu kuleta vurugu kwa maksudi halafu mnataka vyombo vya usalama viwachekee, wamepata wanachostahili na walifikiria wataogopwa, sasa mvimbisheni kichwa tena Maalim ajaribu kuingiza watu barabarani.
 
Unapoambiwa usiguse hizo nyaya za umeme utakufa ,ukikaidi ukazishika halafu ukafa.

Je kosa ni la umeme au n mkaidi?
 
Kipindi cha uchaguzi kulijitokeza kamati zilizohusisha viongozi wa dini mbalimbali kuombea uchaguzi ufanyike kwa amani, kuna kamati nyingine ilikuwa inajiita Kamati ya Maadili ya Taifa kazi yake kubwa ilikuwa kutoa adhabu kwa wagombea wa Vyama vya Upinzani.

Hizi kamati mbona hatuzioni wakati huu ambapo kuna uvunjifu mkubwa wa amani unafanyika huko Zanzibar? Viongozi wa dini wako wapi au wanaouawa Zanzibar sio wafuasi wenu.

Hatujasikia hata tamko tu la kulaani yanayoendelea Zanzibar. Je, tuseme lengo lao kuu wakati wa uchaguzi lilikuwa nini? Kukaa kwenu kimya ni kudhihirisha mko upande wa watesi?
Wachumia tumbo
 
Hawa wahuni ndio ilikuwa tegemeo la CDM.
 

Attachments

  • 8F4B5EDB-8AD4-49F8-8DF9-3B38723625C5.png
    8F4B5EDB-8AD4-49F8-8DF9-3B38723625C5.png
    158 KB · Views: 1
  • C7DA7E5E-0D53-4483-ABEF-DA84C739490A.png
    C7DA7E5E-0D53-4483-ABEF-DA84C739490A.png
    110.8 KB · Views: 1
  • 7D3029C7-864E-4AEA-BB68-311D78D0F8F2.png
    7D3029C7-864E-4AEA-BB68-311D78D0F8F2.png
    159.6 KB · Views: 1
Kipindi cha uchaguzi kulijitokeza kamati zilizohusisha viongozi wa dini mbalimbali kuombea uchaguzi ufanyike kwa amani, kuna kamati nyingine ilikuwa inajiita Kamati ya Maadili ya Taifa kazi yake kubwa ilikuwa kutoa adhabu kwa wagombea wa Vyama vya Upinzani.
Iui
Hizi kamati mbona hatuzioni wakati huu ambapo kuna uvunjifu mkubwa wa amani unafanyika huko Zanzibar? Viongozi wa dini wako wapi au wanaouawa Zanzibar sio wafuasi wenu.

Hatujasikia hata tamko tu la kulaani yanayoendelea Zanzibar. Je, tuseme lengo lao kuu wakati wa uchaguzi lilikuwa nini? Kukaa kwenu kimya ni kudhihirisha mko upande wa watesi?
Kama hao ndio viongozi wa dini basi dini zetu zemekuwa irrelevant
 
Kamati FAKE za maadili na amani Mkuu zinazotumiwa na wahuni wa maccm vile watakavyo wao.
Kipindi cha uchaguzi kulijitokeza kamati zilizohusisha viongozi wa dini mbalimbali kuombea uchaguzi ufanyike kwa amani, kuna kamati nyingine ilikuwa inajiita Kamati ya Maadili ya Taifa kazi yake kubwa ilikuwa kutoa adhabu kwa wagombea wa Vyama vya Upinzani.

Hizi kamati mbona hatuzioni wakati huu ambapo kuna uvunjifu mkubwa wa amani unafanyika huko Zanzibar? Viongozi wa dini wako wapi au wanaouawa Zanzibar sio wafuasi wenu.

Hatujasikia hata tamko tu la kulaani yanayoendelea Zanzibar. Je, tuseme lengo lao kuu wakati wa uchaguzi lilikuwa nini? Kukaa kwenu kimya ni kudhihirisha mko upande wa watesi?
 
Watasemaje wakati Social Media zimeminywa? acheni kuwaonea...
 
Back
Top Bottom