Zanzibar 2020 Zile Kamati za Amani na Maadili, na Viongozi wa Dini hawaoni yanayoendelea Zanzibar?

mrembo mbona kama umepanic hahahaaaaaaa
 

Hakuna kitu cha kulaani Zanzibar isipokuwa kuna cha kupongeza kwa kufanya uchaguzi mzuri,kwa amani na utulivu mpaka mshindi kupatukana.
 
Katika jamii yoyote ukiona dini imepewa nafasi na haisumbuliwi basi jua hiyo dini ina maslahi kwa watawala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…