Zile Kambi za Dubai, Egypt na Sudan kumbe zilikuwa ni kwa ajili ya nusu fainali ya ASFC

Zile Kambi za Dubai, Egypt na Sudan kumbe zilikuwa ni kwa ajili ya nusu fainali ya ASFC

Ukistaajabu ya Musa basi utayaona ya firauni...
Kuna timu mojawapo hapa nchini Huwa inaanza msimu Kwa mikwara mingi sana ila mwishoni mwa msimu huwa inaangukia pua vibaya sana[emoji23][emoji23][emoji23]

Wakati wa maandalizi ya kuanza msimu huu tuliwasikia wameenda kuweka Kambi Misri.
Mara hatujakaa sawa tukawasikia wameenda Sudan kuweka Kambi na kucheza mechi za kirafiki na timu vigogo barani Afrika
Hatujakaa sawa katikati ya Msimu hao tukawasikia wameenda Dubai kuweka kambi
Mara tukawasikia wamecheza mechi za kirafiki na timu zinazoshiriki UEFA champions league...

Sasa kumbe haya maandalizi yote yalikuwa ni kuja kucheza nusu fainali ya Azam Confedaration Cup[emoji23][emoji23][emoji23]

Hata hivyo wamejitahidi kutetea kombe lao la robo fainali na wamefanikiwa pia kuondoka na kombe jipya la kufa kiume[emoji23]

Uzi tayari.....[emoji382][emoji382][emoji375][emoji375]View attachment 2608600
Nawapongeza watani wangu Simba kwa pre season nzuri. Moja ya mafanikio mazuri kwenye michezo ni maandalizi Kama hayo. Timu iweke kambi nje huko na icheze na timu za madaraja mazuri. Nadhani tusiwabeze Simba hawa Ila tushukuru Mungu mambo yameiendea vizuri timu yangu ya Yanga, natamani msimu ujao tukapige pre season South.
 
Msimu huu na wenyewe wakaweke kambi yao kule Bunju Magengeni. Ifikie wakati wamuonee huruma Mhindi wa watu. Maana kutwa ni kulalamika tu.
Kuna yule jamaa tirai tena alisafir mpaka Ghana na Nigeria kufuata vifaa vyenyewe ni Okra na okwa sijui nani amekula 10%
 
Kipindi kile walikuwa na yule kocha wa makipa walikuwa wanabeba ngada na kuvusha nchini

Viungo punda
 
Msimu huu na wenyewe wakaweke kambi yao kule Bunju Magengeni. Ifikie wakati wamuonee huruma Mhindi wa watu. Maana kutwa ni kulalamika tu.
Mhindi anaona vijeba wanataka kumfilisi, wamekuwa kama pimbi harakati nyingi zisizo na ufanisi.
 
Back
Top Bottom