Zile kauli za kihuni za Manara kwa CEO Barbara zimejibu

Zile kauli za kihuni za Manara kwa CEO Barbara zimejibu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Anaandika Meneja Ahmed Ally

Nilitegemea hili na wasingejitoa ningeshangaa sana!

Wakati wanaianza safari ya NANI ZAIDI hawakua na dira wala muelekeo

Waliingia kichwa kichwa pengine walitaka kuwaridisha wadhamini Azam Tv lakini ukweli ni kwamba walikua hawajui wanafanya kitu gani

Sababu zozote watakazotoa ni visingizio tuu ukweli ni kwamba hawakua na focus na pia wanakimbia baada ya kuona gape inazidi kuwa kubwa

Ukitaka kuamini hawakujipanga rudia kuwasikiliza siku ya Press ya uzinduzi, hakuna cha maana walizungumza zaidi ya kupiga makelele kushindwa kwao kulianza siku ile

Walizungumza ki oya oya baadala ya kuzungumza kibiashara na mashabiki wao wakaichukulia kampeni oya oya na hatimae wamekufa oya oya

Kujitoa kwao sio bahati mbaya wamefanya makusudi ili nasi tushindwe kutimiza malengo yetu

Wanajua nguvu ya mashabiki wetu, wanajua kupitia mtaji wa mashabiki wetu tutajenga ukuta pale Bunju na tutajenga Hostel zetu

Hawataki tuwe na vyetu wanataka tufanane tuwe kama wao wanavyoishi kwenye nyumba za mtu

Mwaka jana walifanya kampeni ya kukarabati Ile Bording yao pale Jangwani ambapo ukikarabati chumba kinapewa jina lako, kampeni ilikufa kifo cha kawaida hawana mashabiki royal

Wamejitoa ili kampeni ifee tufeli wote

TUNAWAAMBIA TUU kampeni itaendelea hadi siku ya mwisho July 3 2022

Watu wenye malengo hawawezi kuishia njiani kisa mkosa malengo kaishia njiani

Kampeni yetu sasa inafahamika kama KLABU YANGU na malengo ni yaleyale
Sasa tunashindana Simba wenyewe kwa wenyewe

My Take
Tukio la kibiashara kama lile unaleta wahuni na mapunguani kuongea unategemea nini? Kama mnampenda sana Manara mpelekeni akapate matibabu ya akili badala ya kumtumia kwenye biashara
 
KUJITOA YANGA Kwenye NANI ZAIDI

Yanga imetangaza kujitoa Kwenye hii Kampeni ya NANI ZAIDI kutokana na hujuma zilizo gundulika na viongozi wa yanga [emoji3578]

Imebainika kwamba Simba walikua wakifanya mchezo mchafu wa kuiba pesa za yanga kupitia namba fake zilizo tolewa [emoji849]

IPO hivi[emoji3578]

Kwa wachangiaji wa yanga walikua wakiichangia kupitia Vodacom namba ya kampuni mwanzo ilikua Ni

004455[emoji419] Vodacom
Na Simba ilikua Ni
002233[emoji419] Vodacom

Kwa wakati huo yanga ilikua inaongoza kwa Kura[emoji122]

Baadae kukaingia kirus Cha hujuma kwa MAKOLO namba ya kampuni ya yanga kwa wanao changia kupitia Vodacom ikabadilishwa na kufanana na ile ya Simba[emoji102]

Ikawa[emoji3578]

002233[emoji419]

Na Simba

002233[emoji419]

Kwahiyo michango yote ya wananchi ilikua inaenda kwa Simba[emoji24]
Kwakua namba inatambulika ipo kwenye account ya Simba[emoji29]

Hiyo ndo sababu ya viongozi wa yanga kusitisha Kampeni hii[emoji122]

Nitoe pongezi kwa viongozi wetu kwa kua macho[emoji102] na hujuma za makolo walizo zizoea kufanya msimu huu hakuna kuwaachia hata tone[emoji849]

Kazi nzuri ya C.E.O wetu senzo[emoji122]

NB: kifo Cha nyani miti yote huteleza ndo kinacho wakumba makolo Sasa[emoji23]

My take wananchi tusikubali kutumika kibiashara kwa watu walioshindwa[emoji23][emoji23] halafu pia Wana YANGA wenzangu musitembee ovyo usiku maadui ni wengi nawaambia kama kaka yenu.
 
Anaandika Meneja Ahmed Ally

Nilitegemea hili na wasingejitoa ningeshangaa sana!

Wakati wanaianza safari ya NANI ZAIDI hawakua na dira wala muelekeo

Waliingia kichwa kichwa pengine walitaka kuwaridisha wadhamini Azam Tv lakini ukweli ni kwamba walikua hawajui wanafanya kitu gani

Sababu zozote watakazotoa ni visingizio tuu ukweli ni kwamba hawakua na focus na pia wanakimbia baada ya kuona gape inazidi kuwa kubwa

Ukitaka kuamini hawakujipanga rudia kuwasikiliza siku ya Press ya uzinduzi, hakuna cha maana walizungumza zaidi ya kupiga makelele kushindwa kwao kulianza siku ile

Walizungumza ki oya oya baadala ya kuzungumza kibiashara na mashabiki wao wakaichukulia kampeni oya oya na hatimae wamekufa oya oya

Kujitoa kwao sio bahati mbaya wamefanya makusudi ili nasi tushindwe kutimiza malengo yetu

Wanajua nguvu ya mashabiki wetu, wanajua kupitia mtaji wa mashabiki wetu tutajenga ukuta pale Bunju na tutajenga Hostel zetu

Hawataki tuwe na vyetu wanataka tufanane tuwe kama wao wanavyoishi kwenye nyumba za mtu

Mwaka jana walifanya kampeni ya kukarabati Ile Bording yao pale Jangwani ambapo ukikarabati chumba kinapewa jina lako, kampeni ilikufa kifo cha kawaida hawana mashabiki royal

Wamejitoa ili kampeni ifee tufeli wote

TUNAWAAMBIA TUU kampeni itaendelea hadi siku ya mwisho July 3 2022

Watu wenye malengo hawawezi kuishia njiani kisa mkosa malengo kaishia njiani

Kampeni yetu sasa inafahamika kama KLABU YANGU na malengo ni yaleyale
Sasa tunashindana Simba wenyewe kwa wenyewe

My Take
Tukio la kibiashara kama lile unaleta wahuni na mapunguani kuongea unategemea nini? Kama mnampenda sana Manara mpelekeni akapate matibabu ya akili badala ya kumtumia kwenye biashara
Hivi haya mashindano ya msiba wa Nani ulikuwa na rambirambi kubwa yalikuwa ya kukuza Ustawi wa familia au kunufaisha wachangishaji?
 
Hiyo paragraph ya mwisho itamfanya Haji aitishe press kesho ili kujibu mapigo, maana nimjuavyo yule jamaa hapendi kukosolewa.

Anapenda sana kujibu Bifu za mipasho kama hiyo.
 
Waliwai pia kujitoa kwenye mtani jembe tushawazoea hawa wazee wa kususa.wameambiwa na nguruwe pori wao bukubuku azifanyi kitu,sasa hivi izo bukubuku Simba washafikisha milioni 150.
 
Kinachoshangaza ni kwamba, wanaojinadi kupata hela nyingi zaidi kwenye hiyo harambee yao ndio wanaongoza kwa kulalamika.

Si mcheze peke yenu, kelele za nini? Kila mtu afanye anachokiweza. Sisi tumefanya tunachokiweza (kushinda ubingwa), nyinyi pia fanyeni mnachokiweza (kuchangishana).

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
KUJITOA YANGA Kwenye NANI ZAIDI

Yanga imetangaza kujitoa Kwenye hii Kampeni ya NANI ZAIDI kutokana na hujuma zilizo gundulika na viongozi wa yanga [emoji3578]

Imebainika kwamba Simba walikua wakifanya mchezo mchafu wa kuiba pesa za yanga kupitia namba fake zilizo tolewa [emoji849]

IPO hivi[emoji3578]

Kwa wachangiaji wa yanga walikua wakiichangia kupitia Vodacom namba ya kampuni mwanzo ilikua Ni

004455[emoji419] Vodacom
Na Simba ilikua Ni
002233[emoji419] Vodacom

Kwa wakati huo yanga ilikua inaongoza kwa Kura[emoji122]

Baadae kukaingia kirus Cha hujuma kwa MAKOLO namba ya kampuni ya yanga kwa wanao changia kupitia Vodacom ikabadilishwa na kufanana na ile ya Simba[emoji102]

Ikawa[emoji3578]

002233[emoji419]

Na Simba

002233[emoji419]

Kwahiyo michango yote ya wananchi ilikua inaenda kwa Simba[emoji24]
Kwakua namba inatambulika ipo kwenye account ya Simba[emoji29]

Hiyo ndo sababu ya viongozi wa yanga kusitisha Kampeni hii[emoji122]

Nitoe pongezi kwa viongozi wetu kwa kua macho[emoji102] na hujuma za makolo walizo zizoea kufanya msimu huu hakuna kuwaachia hata tone[emoji849]

Kazi nzuri ya C.E.O wetu senzo[emoji122]

NB: kifo Cha nyani miti yote huteleza ndo kinacho wakumba makolo Sasa[emoji23]

My take wananchi tusikubali kutumika kibiashara kwa watu walioshindwa[emoji23][emoji23] halafu pia Wana YANGA wenzangu musitembee ovyo usiku maadui ni wengi nawaambia kama kaka yenu.
Mtani jembe senzo alishitukia ndo mana mulijitoa
 
Back
Top Bottom