3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
ZEK. :13:7
Amka, Ee upanga, juu ya mchungaji wangu, na juu ya mtu aliye mwenzangu, asema BWANA wa majeshi; mpige mchungaji, nao kondoo watatawanyika;.....
Hii ndiyo kanuni iliyotumika kiongozi wao kapigwa kondoo zote zimetawanyika na idea yao kufa milele
Amka, Ee upanga, juu ya mchungaji wangu, na juu ya mtu aliye mwenzangu, asema BWANA wa majeshi; mpige mchungaji, nao kondoo watatawanyika;.....
Hii ndiyo kanuni iliyotumika kiongozi wao kapigwa kondoo zote zimetawanyika na idea yao kufa milele