Zile kelele za Rais Magufuli aongezewe muda mbona hazipingwi kwa Rais Samia?

Zile kelele za Rais Magufuli aongezewe muda mbona hazipingwi kwa Rais Samia?

ZEK. :13:7
Amka, Ee upanga, juu ya mchungaji wangu, na juu ya mtu aliye mwenzangu, asema BWANA wa majeshi; mpige mchungaji, nao kondoo watatawanyika;.....

Hii ndiyo kanuni iliyotumika kiongozi wao kapigwa kondoo zote zimetawanyika na idea yao kufa milele
 
Baada ya uchaguzi mkuu ambao ni moja ya chaguzi mbaya kupata kutokea Tanzania, bunge la Tanzania kupitia wabunge wake wa chama kimoja waliopatikana baada ya uchaguzi kuchafuliwa na tume ya uchaguzi kulizuka mjadala bungeni wa kuwa rais magufuli aongezewe muhula wa uongozi...
Mama kwakuwa anakubalika na ufipa yote, kwa sasa 2025 tuungane apite bila kupingwaa. Hiiii ndo raha ya ccm chama dume.
 
ZEK. :13:7
Amka, Ee upanga, juu ya mchungaji wangu, na juu ya mtu aliye mwenzangu, asema BWANA wa majeshi; mpige mchungaji, nao kondoo watatawanyika;.....

Hii ndiyo kanuni iliyotumika kiongozi wao kapigwa kondoo zote zimetawanyika na idea yao kufa milele
[emoji23][emoji23][emoji23]

Umeeleweka mtumishi mwenzangu
 
Kwa sababu Samia hatoi rewards kwa misingi ya kujikomba. Sanasana unaweza kuliwa kichwa kwa kujikomba...
Baada ya uchaguzi mkuu ambao ni moja ya chaguzi mbaya kupata kutokea Tanzania, bunge la Tanzania kupitia wabunge wake wa chama kimoja waliopatikana baada ya uchaguzi kuchafuliwa na tume ya uchaguzi kulizuka mjadala bungeni wa kuwa rais Magufuli aongezewe muhula wa uongozi...
 
amini nawaambia ndg zangu, Mungu kumpenda zaidi jiwe, katuepusha na matukio mengi zaidi mabaya ikiwemo kwenda kinyume na katiba na yale yanayohusu uvunjifu wa haki za binadamu.

yule mtu alishawahi ku-authorise baadhi ya watu kupotezwa na wakapotezwa kweli, asingesita kuendelea na mtindo huohuo kwa kipindi chote ambacho angekuwa madarakani. ni sawa na kula nyama ya binadamu, ukianza kuila huachi, utataka uendelee kula zaidi.

kufa kwake ni faida zaidi kwa ustawi wa watanzania kuliko hasara. jina la Mungu lihimidiwe.
 
Kauli zilizokufa jumla.
. Aongezewe mda
. Mabeberu
. Intellegencia inayoona viashiria kwenye mikutano ya wapinzani pekee
.KILA siku Chato
.Hiki ni kishindo cha awamu
. Wanyonge
. Maendeleo hayana chama
. Wapinzani ni corona
.Kipigo cha mbwa koko
. Watapigwa hadi wachakae
.Mkoa wangu
. Serikali ya .......
.
 
Baada ya uchaguzi mkuu ambao ni moja ya chaguzi mbaya kupata kutokea Tanzania, bunge la Tanzania kupitia wabunge wake wa chama kimoja waliopatikana baada ya uchaguzi kuchafuliwa na tume ya uchaguzi kulizuka mjadala bungeni wa kuwa rais Magufuli aongezewe muhula wa uongozi...
Bado hajatoa hongo kwa mataga, subiri waongwe uone watakavyojitoa ufahamu.
 
Kwani hujasikia bavicha wakidemka kwamba Samia lazima aongoze hadi 2030 ili kuwakomoa mataga na marehemu?
 
Kwani hujasikia bavicha wakidemka kwamba Samia lazima aongoze hadi 2030 ili kuwakomoa mataga na marehemu?
Mama Samia akiendelea hivi basi apewe japo mitano mingine.

Watanzania tunahitaji Raisi mwenye Hekima na Busara za kufanya maamuzi yenye mustakabari sahihi kwa wananchi.

Hatuangali Sura wala Jinsia, wala kabila, wala Dini.

Japo bado mapema sana kuweza kamua.
 
Ilikuwa ule 'mhimili wa hovyo' kabisa pale idodmya chini ya kiongozi dhaifu kabisa kuwahi kutokea ktk mhimili huo.
 
Wao zamu yao ya kupiga Makofi imepita ni zamu yetu sasa
 
Mbunge wa Makambako bw. Deo sanga alilishikia bango suala hili na spika kumpa muda mwingi wa kulizungumzia. Mwaka 2020 wakati bunge linamaliza muda wake mbunge wa nkasi bw ally kessy alitaka rais magufuli aongezewe muhula wa uongozi na spika ndugai kwa kiburi alitalia kuwa hoja hiyo ailete bunge lijalo na kudai kuwa tena tutakuwa wenyewe(CCM) bila upinzani kwa maana walikuwa wamepanga namna uchaguzi mkuu utakavyokuwa kuwakata wapinzani. Spika Ndugai alisema Magufuli atake au asitake lazima aongezewe muda...
Stukaa. Ukiona hivyo ujue mratibu wa hizo kelele alikua muhusika mwenyewe. Siasa ni mwanakharamu
 
Back
Top Bottom