Zile kelele za Rais Magufuli aongezewe muda mbona hazipingwi kwa Rais Samia?

Akili zimewarudi baada ya mwendazake kuitwa kwenye hukumu hukooooo juu, na kwa maneno mengine ni kwamba alikua anawatuma mwenyewe wala sio wao ndiomaana sasahivi kimyaaaaa shenzy taipu kabisa
 
Bado muda wataanza soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…