Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Ndio hivyo,
Ndio maana nikasema nchi hii bado hatujapata mtu serious mwenye uchungu wa maendeleo
Kama kuna wafanyakazi nchi hii wameachwa nyuma basi ni Maticha..
Yaani kwenye huo mshahara wao ndio walipe kodi,
Wanunue chakula,
Wapate nauli ya kwenda kazini,
N.k
Wakati kuna milioni nyingi tu zinaharibiwa huku!
Milioni 50
Unajenga nyumba ya kuishi familia mbili za walimu katika eneo la shule,
Na kumpunguzia mwalimu adha ya kulipa kodi,
Faida mojawapo ya mwalimu kukaa shule ni kumuongezea ufanisi na kurahisisha utendaji kazi ...
Najua chawa mtakuja kupiga kelele lakini huo ndio ukweli..
Tunapeleka hela Sehemu sio ili kutafuta kiki
Ndio maana nikasema nchi hii bado hatujapata mtu serious mwenye uchungu wa maendeleo
Kama kuna wafanyakazi nchi hii wameachwa nyuma basi ni Maticha..
Yaani kwenye huo mshahara wao ndio walipe kodi,
Wanunue chakula,
Wapate nauli ya kwenda kazini,
N.k
Wakati kuna milioni nyingi tu zinaharibiwa huku!
Milioni 50
Unajenga nyumba ya kuishi familia mbili za walimu katika eneo la shule,
Na kumpunguzia mwalimu adha ya kulipa kodi,
Faida mojawapo ya mwalimu kukaa shule ni kumuongezea ufanisi na kurahisisha utendaji kazi ...
Najua chawa mtakuja kupiga kelele lakini huo ndio ukweli..
Tunapeleka hela Sehemu sio ili kutafuta kiki