upumbavu mtupu, hujui unaloliwazaZanzibar ilikuwa ianzishe shirika lake la ndege na fununu ilikuwa liwe tayari limeanza safari za Arusha Zanzibar na Zanzibar China,kilichotokea hakijulikani mpaka Machogo wakaziteka na kuwaacha wapemba wakishangilia hewa.
Ungejiuliza kwa nini zile Ndege zimepokelewa Zanzibar ? Na sio Daresalamu ?
Anafikiri taratibu za kuwa shirika la ndege ni kama kumiliki DCMupumbavu mtupu, hujui unaloliwaza
Tanganyika ndio haitaki kuiacha Zanzibar iwe huru na ijitegemee.Sijajua ni kwa nini Zanzibari mpaka leo haitaki kujitenga na Tanganyika! Wana Rais wao, Bunge lao, Jeshi lao mfano JKU na Mafunzo! bendera yao, mipaka yao, wimbo wao wa Taifa, ikulu yao, nk.
Huu si uzi hii ni kamba ,ndugu mwenye macho haambiwi tazama,nipe majina ya zile ndege ? Aibu wameenda kuandika hapa kazi tu,Una uelewa kuwa ndege aina ya helikopta ilizuiwa kutua Zanzibar-Unguja wakati wa kampeni,ndege ilikuwa na Mwenyekiti wa CDM GUIDE Mbowe kama sikosei, sababu ilikuwa haina kibali ya kutumia anga la Zanzibar.Toa ufafanuzi mleta huu uzi.
Zanzibar ilikuwa ianzishe shirika lake la ndege na fununu ilikuwa liwe tayari limeanza safari za Arusha Zanzibar na Zanzibar China,kilichotokea hakijulikani mpaka Machogo wakaziteka na kuwaacha wapemba wakishangilia hewa.
Ungejiuliza kwa nini zile Ndege zimepokelewa Zanzibar ? Na sio Daresalamu ?
Mimi nachojua zile ndege ni mali ya CCM siyo ya Watanzania. Kwasababu zimenunuliwa bila utaratibu na mkataba kuficha. Wachache wamegawana cha juu.Zanzibar ilikuwa ianzishe shirika lake la ndege na fununu ilikuwa liwe tayari limeanza safari za Arusha Zanzibar na Zanzibar China,kilichotokea hakijulikani mpaka Machogo wakaziteka na kuwaacha wapemba wakishangilia hewa.
Ungejiuliza kwa nini zile Ndege zimepokelewa Zanzibar ? Na sio Daresalamu ?
Zanzibar ilikuwa ianzishe shirika lake la ndege na fununu ilikuwa liwe tayari limeanza safari za Arusha Zanzibar na Zanzibar China,kilichotokea hakijulikani mpaka Machogo wakaziteka na kuwaacha wapemba wakishangilia hewa.
Ungejiuliza kwa nini zile Ndege zimepokelewa Zanzibar ? Na sio Daresalamu ?
Kila ki2 dar, hizo mlizonazo haziwatoshi+dreamliner na Airbus na bombardier!!!! Mimi ni mmbara but nafurahia wazanzibari pia wawenazo. Acheni wivu na roho mbaya.
Mimi nachojua zile ndege ni mali ya CCM siyo ya Watanzania. Kwasababu zimenunuliwa bila utaratibu na mkataba kuficha. Wachache wamegawana cha juu.
Kumbuka kila mradi CCM uanzisha kwaanzia gesi, mwendo kasi, barabara, Stigler e..t.c siyo kwa manufaa ya wananchi bali ni njia ya kutafuta fursa ya kupiga.
Yani ni masterplan wazuri sana wa wizi na wana uweledi wa kukkopa kwa wahisani. Ndo maana wako tayari kukumbambikia kesi za Ugaidi, kukutisha na kukuua ili wabaki madarakani milele kuilinda wao na familia kwa wizi wa ajabu waliokufanya.
Wote wafe tuuu
Ama kweli wewe zuzuZanzibar ilikuwa ianzishe shirika lake la ndege na fununu ilikuwa liwe tayari limeanza safari za Arusha Zanzibar na Zanzibar China,kilichotokea hakijulikani mpaka Machogo wakaziteka na kuwaacha wapemba wakishangilia hewa.
Ungejiuliza kwa nini zile Ndege zimepokelewa Zanzibar ? Na sio Daresalamu ?
Zanzibar ilikuwa ianzishe shirika lake la ndege na fununu ilikuwa liwe tayari limeanza safari za Arusha Zanzibar na Zanzibar China,kilichotokea hakijulikani mpaka Machogo wakaziteka na kuwaacha wapemba wakishangilia hewa.
Ungejiuliza kwa nini zile Ndege zimepokelewa Zanzibar ? Na sio Daresalamu ?
Saivi mnafurahia muungano baadae msilie lieTanganyika ndio haitaki kuiacha Zanzibar iwe huru na ijitegemee.
Ndio maana Chifu Hangaya anatunyoosha kimyakimya na kwa ufanisi mkubwa.
Wazanzibar wote inabidi wamuombee sana mama afya njema na maisha marefu, huyu ndio ametumwa na Mungu kuwaokowa Wazanzibar na unyonyaji wa Watanganyika.
Muungano hautavunjika ila kero zote za muungano mama atazimaliza kwa umahiri mkubwa.
Anaupiga mwingi sana, angalia teuzi zake sasa hivi, anataka Wazanzibar pia wawe wengi kwenye serikali JMT.