Zilianza Pointi 8,Zikaja Pointi 5 Naona kwa mbali zikibaki pointi 2

Zilianza Pointi 8,Zikaja Pointi 5 Naona kwa mbali zikibaki pointi 2

Mabingwa wa round ya kwanza[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Mkude anakabidhiwa kombe lini asee halafu mwisho wa msimu ampe Canavarro jumla jumla
 
Yebo ashaanza kutia mikono!,pumbavu Sana.
Mkuu uliona yale magoli? Mchawi wenu sio Yebo bali mkajitathimini tatizo ni nini hadi safu yenu ya ulinzi imeruhusu magoli yanayo fanana kama yale ambayo walimwacha jamaa anapiga free header mara mbili bila mfungaji kusumbuliwa hata kidogo na mpira unatumbukia nyavuni kiulaini. Tatizo mwalimu au wachezaji. magoli hayana utata sijui goli la mkono au nanihii.
 
Chura churani
 

Attachments

  • FB_IMG_14789315257606780.jpg
    FB_IMG_14789315257606780.jpg
    28.1 KB · Views: 49
Nimesikitika sana ligi kusimama wakati ndio kwanza Yanga tulianza kutakata.
Ila hakuna matata ngoja turudi na nguvu mpya tusajili na kiungo namba 6 mwingine.
 
Ligi ikianza game moja tu inatosha kutuweka kileleni
Narudia tena ligi ilivyoanza wote tulikuwa na point 0 ila baada ya mzunguko wa kwanza kuisha simba 35 chura churani 32

Nadhan umeona utofauti hapo
 
Kama kawaida,washindi wa round ya 1,game moja ya kwanza pili timu ya wananchi itakuwa iko sehemu yake
 
Hans Pope anasema kuna wachezaji wanacheza chini viwango na wanawafahamu.

Naona kama ameingilia kazi ya kocha au naye anacheti cha ukocha nani daraja gani?

Simba wetu tu mnasumbua mahakama ila hukumu yenu tiyari yajulikana.
 
Kufungwa kwa Simba hakushangazi

Wameshazoea kufungwa na sisi tumeshazoea kupata matokeo hayo.

Simba hawana lolote tena.
 
Back
Top Bottom