Zilikuwepo na kuvuma miaka hiyo...

Abbasfarudume

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2017
Posts
1,625
Reaction score
1,326
Wakuu wangu ni matumaini yangu ni wazima wa afya, hii leo tukumbuke na kukumbushana kumbi mbali mbali zilizo wahi kuvuma na maarufu za starehe enzi hizo kuanzia miaka ya 80 mpaka 90.... Naanza mimi kwa mfano pale mwenge kulikuwa na ukumbi wa mpakani bar, baadae ukabadilishhwa jina ukawa unaitwa silent inn ukiwa chini ya Fred rwegasira... 92 Hotel shekilango road... Tuendelee..
 
huu uzi wako mbona uko biased sana, ngoja waje wale wa kolomije na wao waweke kumbi zao tuone
 
Kwa pale moshi, kumbi zilikuwa kama chache sana. Iliyotamba ni vijana club, Libert hotel, na green view ambayo baada ilikuja kuungua.

Ila kuna disco lilikuwa linapigwa kila mwisho wa mwezi pale pale ukumbi wa Tatcot k.c.m.c. ilikuwa ni sheeder.

Kumbi za cinema zilikuwa mbili. ABC Cinema na Plaza Cinema.
 
Zanzibar ilikuwa hakuna kama INN BY THE SEA na FUJI sahv yamebaki magofu tu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…