Zilipendwa Marijani Rajabu’Jogoo la shamba


Hawa walikuwa wasanii kweli wanaumiza vichwa ujumbe unafika kwa rika lote.unaweza kuusikiliza hata ukiwa na mtu wa aina yoyote, ila wengi wao wamekufa kwenye maisha ya umaskini.music hawakufaidika nao.ila jumbe zao zimebaki na zitaendelea kubaki masikioni mwa wengi.labda hiki ndiyo kizazi cha dhahabu enzi hizo.
 
Jiwe ooooh ulijidai mbishi sana leo umekumbwa na corona kidogo.... Aibu inakupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…