Zilipendwa: Umewahi kuicheza hii nyimbo?

Zilipendwa: Umewahi kuicheza hii nyimbo?

Kirikou Wa Kwanza

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2013
Posts
3,564
Reaction score
1,991
Bilinge bayoyo bilinge bayoyo x2

Namuomba dada Andunje akae chini tuyaone maringo yake bingili bingili mpaka chini (Hapo dada Andunje anakata kiuno balaa tehe tehe tehe!)
 
mmmh akili za usiku hizi... we ni me au ke?
 
Mkuu sikiliza nyimbo ya Rais Wa Wasafi Diamond Plutnumz bbeeeiiib....Inaitwa Hellow new:
Ametia kionjo cha huu mchezo wetu wa zaman tukiwa vidudu. Naamini utaupenda
 
Mkuu sikiliza nyimbo ya Rais Wa Wasafi Diamond Plutnumz bbeeeiiib....Inaitwa Hellow new:
Ametia kionjo cha huu mchezo wetu wa zaman tukiwa vidudu. Naamini utaupenda

Safi sana, vionjo hivyo wanapovitumia huwa vinatukumbusha mbali.
 
Back
Top Bottom