Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
wakuu naomba mnisaidie nyimbo za
1. binadamu hawana shukrani -ndanda kosovo na fm academia. unakibwagizo sasa wanaanza kulia eeeh nuhu..eeeh nuhu tufungulie safina. naomba mniwekee hapa wadau
2. nadhan ni mao santiago kama sikosei anasema "marafiki wote wamenikimbia sasa upendo tulipatana umefika wapi.... kibwagizo cha kula kwake vichochoroni,kulala kwake vichochoroni.
naombeni mnisaidie huu wimbo wadau.
1. binadamu hawana shukrani -ndanda kosovo na fm academia. unakibwagizo sasa wanaanza kulia eeeh nuhu..eeeh nuhu tufungulie safina. naomba mniwekee hapa wadau
2. nadhan ni mao santiago kama sikosei anasema "marafiki wote wamenikimbia sasa upendo tulipatana umefika wapi.... kibwagizo cha kula kwake vichochoroni,kulala kwake vichochoroni.
naombeni mnisaidie huu wimbo wadau.