ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

BALANTANDA,yooo imenikumbusha mengi ,ahsante mno kipindi nchi imetulia,ina heshima na adabu,kwangu mpaka nitakapokwenda kwenye mapumziko yangu ya milele ni Mlimani Park orch.wana Sikinde ngoma ya ukaye,wakipiga pale Magomeni Kondoa kipindi hicho ,mara baada ya dansi kwisha taratibu unavuka bonde lako la magomeni,unaibukia mkwajuni huyoo hadi kinondoni shamba hakugusi mtu ni vicheko njiani huhitaji taxi wala nini only miguu yako,whats went wrong ndani ya nchi yetu ?now unajifikiria kutembea kutoka pale Saigon hadi Narungombe just few meters away.

Umenikumbusha mbali sana, Hapo mkwajuni kulikuwa na kiwanja cha TP Nyundo na eneo lote lilikuwa mashamba ya viazi mpaka kinondoni CCM, hope ulikuwa unapitia Stereo Bar, kisha Langata, then Kinondoni Shamba
 
Balantanda , Dede mdio hivyo tena una wasifu wake? Naona uko kimya sana

Cc: BAK , lemutuz ,
Mkuu..Nadhani huu ulioandaliwa na Radio Free Africa - RFA Mwanza utasaidia..Uliandaliwa wakati Dede akiwa DDC Mlimani Park Orch...Kabla hajaenda Msondo Ngoma Music Band..Amefariki akiwa anaitumikia Msondo.

 
Baada ya kudownload hakikisha Una rename file zilipendwa band 1980,1990.mp3 ndio utaweza Ku play.
 
Mkuu..Nadhani huu ulioandaliwa na Radio Free Africa - RFA Mwanza utasaidia..Uliandaliwa wakati Dede akiwa DDC Mlimani Park Orch...Kabla hajaenda Msondo Ngoma Music Band..Amefariki akiwa anaitumikia Msondo.


Natafuta wimbo unaoitwa neema, ntaupataje?
 
Jamani nimehangaika sana kutafuta nyimbo hizi;
1)bizman-ningekuwa kwetu....2) ule wimbo wanaoupiga Deutsche welle kwenye kile kipindi cha makala ya Africa kila jumapili saa saba mchana. Naomba hizi nilizotaja kwanza....kwa Mwenye Nazi.
 
Tatizo nini tukusaidie?
Nimeingia link hiyo nikadownload MB kama 110 hivi. Nimeenda kule kwenye downloads manager kucheki nmekuta,ila haifunguki. Nmerudi tena hapa kuingia link inaniambia nidownload tena. Nmechoka hoi!
 
Back
Top Bottom