Zilipigwaje? walinzi wa ikulu ya Kenya vs american Secret Serice

Wabongo wengi hawajuikumake arguments intelligently.

Wengi ni vilaza,tusamehe omera,labda IQ itapanuka mbele ya safari,as for now we are hopelless
 
Recce time ya obama JKIA




UNEP HQ



CBD near US embassy bombing memorial site



JKIA- john kerry akiwasili... unlike in the past, this time radio waves and phone signal hazikuzimwa, walikua wana scramble signal just 200m from the convoys






Bonus

 

Attachments

  • 11796467_1471607546491793_7642556845193772159_n.jpg
    27.5 KB · Views: 124
Kwani nani sasa anapingana na wewe kwenye ukweli kwamba they are nothing katika hilo! Shida ni bandiko lenye kukolezwa chumvi, when you say, they were engaged in fighting, ndio nimekushangaa! Si kingine!
 
Hawa Recce commandoes ni badass... badder than most, lazima uwe makini unapowachezea na wapo na bajeti yao ya kipekee na choppers zao. Wamepitia mafunzo ya kipekee....







 
Sijaona sehemu yoyote katika hilo andiko kama zilipigwa kweli, hata kofi au teke hakuna. Hata hivyo, mbona bado waliingia kwa State House na silaha.
 
Chunga mdomo wako tusi!.Jirekebishe!Ishu ya mtu mmoja usirundike na wasiohusika.
Mkuu, lakini kasema typical Tanzanian sio Tanzanians kwa maana hiyo kaongelea mmjoa ambaye ndiye walikuwa wanajibizana.
 
Nimesoma yote, sijaona hata sehemu moja ikionyesha namna walivyozipiga, e.g ngumi ngapi, mateke, makofi au karate hakuna sehemu ya mwili ambayo wamejeruhiana! Sasa walizipigaje? Au umekopi na kupesti hata hujui kilichoandikwa!?

Hahahahaaaaaa., umenifurahisha mkurugenzi.
 
Upo sahihi kabisa mkuu, Africa must rise oneday. Ila itarise iwapo tu kutakua na mpango madhubuti na wa siri kuiunganisha Africa. Kwa sababu hakuna taifa nje ya Africa litakalokua tayari kuiona Africa moja. Tuna kila rasilimali Africa ila tumekosa mipango tu na watu wenye nia madhubuti, mfano mzuri ni Tanzania, haiwezekani na haitatokea tukaendelea kwa kuendeleza siasa za majitaka na kutafuta umaarufu badala ya kufanya siasa za mendeleo. Tanzania tuna kila kitu ila tumekosa mipango tu na watu wenye nia ya kweli ya kuiona Tanzania imara. Nchi yoyote ile ni lazima iwe na mipango madhubuti ambayo kiongozi yoyote yule ajaye aifuate na kuisimamia. Sio huyu anajenga viwanda, yule anakuja anabinafsisha anakuja mwingine anajenga nyumba za serikali anakuja mwingine anauza, huyu anakuza demokrasia yule anakuja kuikandamiza. Sasa mtu unajiuliza hawa wanafanya hivi wanakomoana au kila kiongozi anafanya analoona yeye ni sahihi. Mwishoni unakuja kujua taifa halina mipango, mipango anayo raisi akiondoka anaondoka na mipango yake. Mimi ninaamini Africa ipo siku ita-rise tu na itakua most powerful empire of all the time And the rise must begin in East Africa. Ukiangalia vizuri Nchi za SADC zinaelewana vizuri na kuchukuliana kama ndugu ukija Uganda, Burundi, South Sudan Congo na Rwanda pia kuna ukaribu ambao kama ikitokea kiongozi mmoja mzuri akafanya lobbying inaweza kuwa nchi moja na ikatanuka baadae kutengeneza African Empire.
MUNGU IBARIKI AFRICA
 
hAYA ULIYOANDIKA NDIO INFERIORITY COMPLEX NA KUJIFARIJI
FOCUS KWENYE MADA JAMAA KAANDIKA UONGO.
KWENYE MAELEZO HAKUNA CHA ZILIPINGWA, NA MWISHO WA SIKU WALIVUNJA KANUNI ZENU NA WAKAINGIA NA SILAHA. STORRY NYINGI ZISIZO NA MASHIKO
 
Hapo safi, RECCE commandoes huwa nawakubali, yaani walisimama kidete tena kwa kifua hadi ikabidi simu zipigwe. Ingekua Bongo, wakiona wazungu huwa wanababaika sana, kwanza Kingereza tu kingetosha jamaa waruhusiwe kupita.
Ingerkuwa na maana kama wangewazuia hadi mwisho, lkn kumpiga mtu mikwara alafua akaingia walijidhalilisha na kujiaibisha
 
Ingerkuwa na maana kama wangewazuia hadi mwisho, lkn kumpiga mtu mikwara alafua akaingia walijidhalilisha na kujiaibisha

Jifunze kitu kinaitwa chain of command. Kaa na wajeda wakupe darasa, cha msingi unadumisha na kuzingatia amri, kama umeamrishwa asipite mtu na silaha, unasimama kidete hadi mwisho. Wakipigiana simu huko juu na amri ije ya kuwaruhusu hao, basi unasalimu.
 
inaonekana hawana planning skills. Simu zilitakiwa kupigwa kabla hawajaja. kama nyie mna utaratibu wenu walipaswa kuujua na kupigiana hizo simu. Hiyo mission ilipaswa kuwa planned and analysed kwa kina na kila factor kufikiliwa before excution. au mawasiliano hayakuwepo kwa sababu ya lugha maana wezetu kiinglish chenu huwa kimechanganykna na kiluo/kuyu.
 

Nafikiri walijichanganya na kudhani kenya itakua kama wakivyozoea hilo shamba lenu la bibi. Kwamba wakifika na kuonyesha kadi zao za Marekani na kuongea English tutababaika kama ilivyo Tanzania.
Wakakuta mijitu imesimama wima hadi Obama mwenyewe apige simu ikulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…