Elections 2010 Zilizokamatwa Tunduma zimetua "Ngerengere"

Elections 2010 Zilizokamatwa Tunduma zimetua "Ngerengere"

KAMA MUNATAKA SAURCE YA WIZI WA CCM muulizeni Lyatonga Mrema uchaguzi uliopita pale kura yake aliojipigia na kuambiwa kwenye kituo chake hakupata hata kura moja huu ndio usanii wa Chukua Chako Mapema.

Hahahahahaha! hii kali duuuuu! hwa CCM hawana maana kabisa! jeeeeeeeeeeez!!!
 
Za mwizi ni 39 tu Arobaini hatambi.
Uzuri suala la kuiba kura safari hii limesemwa wazi kabisa katika vyombo vya habari.
Kuna wizi wa kumuibia mtu kura kabla hajaipiga na kuna wizi wa kumwibia mtu kura kwa kutoorodhesha jina lake hivyo kumzuia asipige.
Wizi babu kubwa ni ule wa kubadili kula zote zilizo pigwa kihalali na kuweka zile zinazo mchagua Kikwete ambazo kuna tuhuma zilionekana huko Tunduma.
Wizi wa Mwisho ni ule wa NEC kupika matokea kwa kuamua kutangaza mshindi kinyume na matokea kama ilivyotokea Kenya na Zanzibar enzi za Salmin.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.

Enzi zile za Mkoloni wa Kiingereza na Kiarabu tulijitoa muhanga wenyewe kupambana na wenye maguvu hadi kujitoa utumwani, ukombozi kutoka mikononi mwa vibaraka wa ukoloni mamboleo u juu ya mabega yetu.
 
taarifa zinaenea kwamba zile karatasi za kura zilizokuwa zimekamatwa kule Tunduma kwenye lori inasemekana zimerudishwa Zambia na badala yake zimeingizwa nchini kwa ndege bila kutua kwenye kiwanja chochote cha ndege za abiria, bali sasa zimetua kwenye kiwanja cha ndege za kijeshi kwenye kambi ya Ngerengere, mkoani Morogoro.

Imetumika mbinu ileile kama ya Meremeta kwani ukiongelea Meremeta basi inaelezwa kwamba ni suala la kijeshi na hivyo ni suala la ulinzi na usalama wa Taifa na halipaswi kuongelewa. Na kwa sababu Ngerengere hapakanyagiki kiurahisi basi hata ndege ikitua pale hakuna anayeweza kuweka wasiwasi.

Ndiyo sababu si rahisi kumsikia hadharani mtu akitaja kwamba zile kura tayari zimo nchini lakini sasa ziko Ngerengere zikisubiri kusambazwa kulikopangwa.

Baada ya kufanikisha kuziingiza sasa imebaki kuzisambaza ktuoka hapo Ngerengere jeshini. Hivyo inabidi kukaa mkao wa kujua kuwa hilo lipo.

Tuendelee kusambaratisha mbinu hata kwa kutaarifiana hivi.

walozikamata kwanini hawakuzichoma moto kama tuonavyo kwa silaha,pembe za ndovu,mibange nk nk nk.
hapa tupate tafakuri zaidi,huenda hazikurudishwa zambia kama taarifa zinavyosema.:doh:
 
Nimeipenda hii quote wanajamvini mungu atatulinda mwaka huu ni mpambano wa daudi na goliath
Sasa kama jambo hili lina ukweli nchi inaelekea pabaya, ndo maana nchi hii haisongi mbele, viongozi wakipatikana bila ridhaa ya wananchi hata mungu hawezi kutoa baraka zake. Tumuombe sana mora kwa nguvu zake hizo kura ziangamizwe na pia sisi tuwe tayari ku-take risk ili kulinda haki yetu.

WAO WANA PESA NA SHETANI SISI TUNA MUNGU, UPANDE UPI UTASHINDA?
 
UANGALIFU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kuna watu wanajifanya wana usalama humu ndani na kujidai kuleta habari nyeti.Topic mara ya kwanza niliifuatilia na kuna mchangiaji aliyeajitambulisha kama ?16,naomba mchunguze mchango wake nahisi alikuwa anapotosha wana jamvi kwa maksudi.
 
Kila uongo mtazua lakin nanga li shingoni hilo na lazima kulimeza hapo oct 31, 2010

Acheni uzushi
.
 
mmmmh kweli CCM ni chama cha majambazi, Dr Slaa atakuwa moro kuwanzia saa 8 mchana inabidi apewe taarifa ili ahabarike na hilo, kweli nchi hii imeisha tujiandae kwa kila hali vita nk.
 
Naamini kuna ndugu zetu walioko huko ngerengere, tujuze tufuatilie make nchi ikiharibika, tunapata hasara wote- Bado masaa 24 tu mi ntakwenda kwenye kituo cha kupigia kura saa 10 uciku hata ikinyesha mvua ya mawe. Tunataka Dr wa ukweli atawazwe.
 
UANGALIFU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kuna watu wanajifanya wana usalama humu ndani na kujidai kuleta habari nyeti.Topic mara ya kwanza niliifuatilia na kuna mchangiaji aliyeajitambulisha kama ?16,naomba mchunguze mchango wake nahisi alikuwa anapotosha wana jamvi kwa maksudi.

kuwa mwanagalifu pia
 
Wa kwanza kuivuruga amani ya nchi hii watakuwa ni CCM wenyewe. Mungu pishia mbali balaa hili.


Hakuna Marefu Yasiyokuwa na Ncha
 
Mi naamini lisemwalo lipo; mtoa taarifa si kichaa tunamshukuru kwa hilo. ila naomba hata kama ni uvumi inabidi uvume kweli kweli ili CCM wakose pa kupumulia na wajue hawana msiri wao tena kwa sasa kila mtu anataka nchi yao irudishwe mikononi kwa wenyewe
 
Hiyo ndege ni ya mizigo au abiria kama ya abiria ni ya ukubwa gani, tunduma walidai zilikuwa kura mil 5, huwezi beba kua milion tano kwenye ndege ya kawaida lazima iwe ngege kubwa sana....ni kama scania na semi mbili x 5 at least.
 
Wewe ukinitonya wataka nikuseme?
Hana lolote huyo achana naye, utawaweza ccm kwa ushabiki wa kitoto!!!?? Yaani wananikeraaaa na nimewachoka halafu siwapendi kupita kiasi.
 
Asante kwa taarifa mkuu. Mungu yu upande wetu tutashinda. Hii vita ni ya kiroho na kimwili na sasa tutamwomba Mungu awaumbue mchana kweupe.
Wanajamii tusiwe na hofu, hiyo mizigo itakapokuwa inatoka Ngerengere gari zote zitapinduka na kuwaka moto. Hakuna karatasi litakalosalia, na muda wa kutengeneza zingine utakuwa ushapita, hivyo Rais wetu Dr. Slaa atakuwa anajiandaa kuapishwa bila wasiwasi. 2010 ni mwisho wa chakachua
 
Back
Top Bottom