Brian Spilner
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 1,915
- 5,750
Asante sana mkuu.Poleee aiseeee
Ikikupendeza naomba niwe mwanafunzi wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu.Poleee aiseeee
Mimi vitu vingi napost humu Jamii forums....Asante sana mkuu.
Ikikupendeza naomba niwe mwanafunzi wako.
[emoji23][emoji23]Kwenye pkpk haipo
Ofisi yako ipo wapi hapa Dar?Sijajua mkuu....
Saivi kama mtu yupo mkoani ana shida tunapanga gharama nasafiri.
Magomeni, Mwembechai.Ofisi yako ipo wapi hapa Dar?
Yangu kwa zaidi ya miezi 6 ilikua inawaka hii taa na kuzima, mara nyingi nikiendesha kuanzia 10km inawaka, pia nikiwa nimesimama kwenye jam inawaka na gari kuzima.
Baadae crankshaft ilikatika, wakati mafundi wanafunga Crankshaft nyingine walikuta pia oil pump ni mbovu.
Kwa petrol best engine ni 3.6L VR6 TSI....Nakuomba sana uje na uzi wa gari hii VW Touareg yenye engine ya petrol na diesel ipi ni nzuri?
Ubarikiwe sana japo kwa 3.6 naona nijini hili,ni bora nikimbile kwa Tiguan ya 2000 ccKwa petrol best engine ni 3.6L VR6 TSI....
Kwa Diesel mtu anaweza kwenda na 3.2L V6. Japo hii engine wanasema mara nyingi haiwezi kumaliza 200,000Km bila Overhaul.
Pole sana kakaNatamani ningesoma huu uzi kabla ya September mwaka jana.
Nilikua na 1hz, hard top. Hapo ni kama siku 3 imetoka service, naenda zangu field. Baada ya km27 ikaniwashia hii taa, nikasema ngoja niikokote nimalize hili korongo niegeshe. Masikini weee....
Gari ilizima wakati napandisha lile korongo, na baada ya dk1 ndani kulikua kuna nuka ile harufu ile (kama limewahi kukukuta then unaijua ile harufu ya kuungua).
Ile kufungua bonet, ni imetapakaa oil tupuu, uvungu wa gari wote umejaa oil, nyuma kwenye spare tyre na vioo ni oil tupu.
Kumbe jamaa walifunga filter vibaya, ile rubber nyeusi ilikua imetwist, haikukaa sawasawa kwenye reli yake, upande flani imeweka seal, upande flan iko wazi. Kwahiyo pressure ya oil ilivyozidi, ikafumua palipo weak, yote ikaishia pale.
Ilibidi niwaangushie jumba lao bovu, tulisumbuana ila mwisho wa siku walifix kila kitu kwa gharama zao, maana ulikua uzembe wao kwenye kufunga filter. Na uzuri incharge alikubali kua alimpa kijana afanye ile service.
Japo kazi ilikua pevu, vikombe, craink shaft, hatari sanaa..
Nilijilaumu saaanaaa, kwanini sikuizima pale pale nilipoona taa, kwanini nilijiaminisha ningefika mwisho wa korongo. But it was too late.