Zima gari lako haraka kama ikiwaka taa hii kwenye dashboard

Mkuu nimegiza kagari kangu RAUM nitumie njia gani kuweza kutunza katika matumizi
 
Yangu kwa zaidi ya miezi 6 ilikua inawaka hii taa na kuzima, mara nyingi nikiendesha kuanzia 10km inawaka, pia nikiwa nimesimama kwenye jam inawaka na gari kuzima.

Baadae camshaft ilikatika, wakati mafundi wanafunga Camshaft nyingine walikuta pia oil pump ni mbovu.
 

Huenda upande mmoja wa Crackshaft vyuma viligangiana kwa sababu ya joto ndo maana ikakatika.
 
Hii kitu imenicost mwaka Juz natokea mkoani nmeianza kongowe kibaha naelekea dar.

Taa iliwaka nikaipuuza kwa kuchukulia kwamba nmetoka mkoani nmetia oil mpya Tena BP, litakua wenge la Gari Hilo.

Aisee, Kilichonikuta.
Ile nmeimaliza mawasiliano naikaribia mlimani city, Gari ikazima.

Nikajua itakua issue ya umeme,
Akaitwa fund umeme akapima na kunambia iko fresh ila ikipiga starter engine haizunguki. Akamwita mwezake specialist wa engine.

Jamaa kufika kupima oil, nyepesi Kama maji afu imebaki chache mno.

Kagua kila sehem, hamna panakoonesha leakaje. Ikaonekaa Ile oil nilipigwa.

Hii ilinipa funzo maana kabla ya hapo nilikua nanunua kwa dealers kwa elfu70 kidumu, Hii iloleta majanga nilinunja kwa elfu55 mpkani uko.
Nikijisifu kwamba Hapa bongo tunapigwa mno kumbe

Ilinicost kununua shaft mpya, piston mkono mmoja mpya na vikorokoro vingine kibao. Engine ikafumuliwa upya na kueukwa upya.

Issue ya kipumbavu kabisa,
Kila kitu kabisa almost Ilinipasuka 850k kimzaha mzaha.

NAJUTA KUTOKUUSOMA UZI WAKO MAPEMA.

Mtoa mada mungu akupe maisha marefu[emoji120]
 
Nakumbuka girlfriend wangu miaka hiyo aliua gari yote kwa ajiri ya hiyo kitu
 
Pole sana kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…