kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Mmeng'ang'ana na rkodi sijui rekod ipi......kipya kinyemi sisi kwetu ayo mambo tushazoea nakukumbusha tu meitake kushindana na domo jeshi kubwa lil hata wakiungana wasanii wote kishindana nae haiwez badilisha jambo.Usipanik mbna nagharamia haikupigiwa kampen na INA viewers wa kutosha tuuuu. .then hata mkimzidi sasa rekod alishavunja so mmemshindwa hahahahahaaa