Zimbabwe ilikuwa na vikwazo vya kiuchumi lakini ilikuwa na bilionea kama Ginimbi

Zimbabwe ilikuwa na vikwazo vya kiuchumi lakini ilikuwa na bilionea kama Ginimbi

Yaani mtu kuchangia msibani lita 1,000 za dizeli nalo kweli linakuwa tangazo? Kwa bongo lita 1,000 za dizeli ni kama milioni mbili tu za kibongo.
 
[emoji23]mkuu,huko sasa ni nje ya mada,anyway kuna tafiti zinafanyika za kuzuia kifo,wazungu wameshafanya uhamishaji wa kichwa yani kichwa chako kinakatwa unapewa mwili mwingine hivyo basi mtu mwenye pesa atabaki kuwa na unafuu fulani siku zote,kuna yule mzee anaitwa warren buffet nadhani,angekuwa masikini yule angeshakufa zamani sana maana kafanyiwa heart transplant zaidi ya mara 2
Mkuu huo utafiti umeuelewa vibaya wala hauko hivyo. Ni kwamba assume mtu amepooza, ila kichwa kinafanya kazi, halafu kuna mgonjwa hawezi kupona, basi yule aliyepooza kichwa chake kinaweza kuhamishiwa kwenye ule mwili.
Huyo Dr ni muitalia kafanyia panya kafaulu, mara ya kwanza ilikuwa anapata changamoto ya mwili kushambulia kichwa, ila miaka kama 5 iliyopita alisema ameweza kusolve hilo tatizo shida ikaja anataka binadam wa kujitolea amfanyie majaribio.
Kuna jamaa flani Mrussi amepooza mwili kichwa kinafanya kazi akawa amekubali, ila kaja change mawazo dakika za mwisho. Hivyo mpaka leo hakuna aliyejitolea.
 
Hawa utajiri wao umetoka nje ya Zimbabwe.hasa SA ndio walikotoa huo utajiri.
 
Back
Top Bottom